Rais Magufuli, vipi ndoto ya kuzikopesha nchi nyingine duniani imeishia wapi?

Nikuulize wewe niambie misaada ipi?
Tunaendelea na ujenzi wa miundombinu iliyobomolewa na tetemeko kama shule na hospitali, tumetoa mabati thelathini na mifuko kadhaa ya cement kwa wananchi wawili tofauti waliothubutu kujenga nyumba zao bila kuisubiria serikali, tumefungua akaunti ya mfuko wa maafa ya Kagera, nk
 
Tunaendelea na ujenzi wa miundombinu iliyobomolewa na tetemeko kama shule na hospitali, tumetoa mabati thelathini na mifuko kadhaa ya cement kwa wananchi wawili tofauti waliothubutu kujenga nyumba zao bila kuisubiria serikali, tumefungua akaunti ya mfuko wa maafa ya Kagera, nk
Kweli mkuu zinaweza kuwa ndiyo sababu zao. Aibu kabisa.
 
Angalia hata muelekeo? Haiwezekani Nchi badala ya Kustawi kwanza ndiyo iko hoi mno.
Iko hoi wapi wakati watumishi wote wa serikali wanalipwa mishahara na hakuna migomo, tunanunua ndege nk. wewe unataka uone nini kujua uchumi unakua?
 
Sijawahi Amini chochote tokea aseme ataanzisha mahakama ya mafisadi tulitegemea ataanza na malofa wale lakin kaufyata...Nasikia ile mahakama haina kesi na inaitia hasara serikali sawa na waliotumbuliwa kuendelea kulipwa mamilioni au kulipwa sawa na mabosi walioteuliwa
 
Salaam!

Ni moja ya Kauli alizotumia kwenye Kampeni zake kuwa Tanzania siyo ya Kulia lia na Misaada maaana ina pesa ya Kutosha. Lakini ajabu deni la Taifa linazidi kupaa na mpaka sasa Serikali inahangaika Kukopa tena takribani 2Trillion kwaajili ya Ku Finance Bajeti ya Nchi 2016/2017.

Je, Mh Rais Kunani tena, Kauli na imani hiyo imefia wapi?
Pili, Je, tuendelee kuziamini kauli zako nzito kama hizi?
Na tatu, Je, Kweli Nchi yetu kwenye Utawala wako wa awamu ya 5 unaamini Tanzania itakuja Kuwakopesha Nchi zingine kama Ulivyotuaminisha?

Itafika sehemu tuwe tunaulizana uwezo wa kuelewa, kufikiri na kuchambua mambo. kuna watu wengine mnatia aibu namna mnavyofikiria.

Yaani we kwa akili yako, unatoka kifua mbele kabisa kuuliza swali kama hili ndani ya mwaka mmoja tuu.? lazima una tatizo la kufikiria.! si usubiri angalau akifikisha miaka 8 au 9 hivi ndio swali litakuwa na mantiki.!

Hata JPM hakusema kuwa ndani ya mwaka mmoja tuu atatoa misaada.
 
Jamani wana JF hivi hata wewe ulipoanza chuo ulisoma mwaka mmoja kila kitu na ukawa awarded na hiyo degree yako for just one?? Jibu ni hapana.

Ulipoamua kuoa siku hiyo hiyo ukapata Mke,ukafunga ndoa,ukajenga nyumba,ukanunua gari,ukawa na miradi mikubwa ukapata Watoto siku hiyo hiyo??!!? Jibu ni hapana

Hata Rais aliposema hii nchi ni AIBU kuwa omba omba wakati ina kila kitu na angetamani iwe DONOR COUNTRY siku moja alikuwa na vision nzuri na tunatakiwa kuisupport.

Tu support juhudi za Rais tutaendelea kuwa omba omba tu mpaka mwisho wa dunia.

Anyway kupanga ni kuchagua kazi kwako
 
Itafika sehemu tuwe tunaulizana uwezo wa kuelewa, kufikiri na kuchambua mambo. kuna watu wengine mnatia aibu namna mnavyofikiria.

Yaani we kwa akili yako, unatoka kifua mbele kabisa kuuliza swali kama hili ndani ya mwaka mmoja tuu.? lazima una tatizo la kufikiria.! si usubiri angalau akifikisha miaka 8 au 9 hivi ndio swali litakuwa na mantiki.!

Hata JPM hakusema kuwa ndani ya mwaka mmoja tuu atatoa misaada.
Mbona unapanic? Tulia jibu maswali, usijifanye kujua kumbe kichwa bure kabisa. Mimi uwezo wangu si wa kuhoji kwa mtu kama wewe.
 
Jamani wana JF hivi hata wewe ulipoanza chuo ulisoma mwaka mmoja kila kitu na ukawa awarded na hiyo degree yako for just one?? Jibu ni hapana.

Ulipoamua kuoa siku hiyo hiyo ukapata Mke,ukafunga ndoa,ukajenga nyumba,ukanunua gari,ukawa na miradi mikubwa ukapata Watoto siku hiyo hiyo??!!? Jibu ni hapana

Hata Rais aliposema hii nchi ni AIBU kuwa omba omba wakati ina kila kitu na angetamani iwe DONOR COUNTRY siku moja alikuwa na vision nzuri na tunatakiwa kuisupport.

Tusi support juhudi za Rais tutaendelea kuwa omba omba tu mpaka mwisho wa dunia.

Anyway kupanga ni kuchagua kazi kwako
Mkuu, tutarudi tena ikipita miaka yake 5 kuwakumbusha maana hamkosi sababu.
 
Mkuu, tutarudi tena ikipita miaka yake 5 kuwakumbusha maana hamkosi sababu.
Don't label somebody, naongea kama mtz tu juhudi zako ktk kujenga Taifa hili ni muhimu hakuna mwenye dhamana na ardhi ya nchi kila mmoja wetu ana wajibu na Maendeleo ya nchi hii
 
Salaam!

Ni moja ya Kauli alizotumia kwenye Kampeni zake kuwa Tanzania siyo ya Kulia lia na Misaada maaana ina pesa ya Kutosha. Lakini ajabu deni la Taifa linazidi kupaa na mpaka sasa Serikali inahangaika Kukopa tena takribani 2Trillion kwaajili ya Ku Finance Bajeti ya Nchi 2016/2017.

Je, Mh Rais Kunani tena, Kauli na imani hiyo imefia wapi?
Pili, Je, tuendelee kuziamini kauli zako nzito kama hizi?
Na tatu, Je, Kweli Nchi yetu kwenye Utawala wako wa awamu ya 5 unaamini Tanzania itakuja Kuwakopesha Nchi zingine kama Ulivyotuaminisha?


Nilivyo ielewa kauli hiyo aliyotumia kwenye kampeni zake:
…..anayo vision, siku moja Tanzania ije kuwa Donor country. Utekelezaji wa vision hiyo hauwezi kuja ghafla bali ni hatua pamoja na michakato mbalimbali inayohitaji muda kabla ya kufikia lengo. Hata hao donor countries hawakuanza tu kwa kuwa donors, bali walipitia hatua fulani kwanza na muda wa kutosha …
 
Salaam!

Ni moja ya Kauli alizotumia kwenye Kampeni zake kuwa Tanzania siyo ya Kulia lia na Misaada maaana ina pesa ya Kutosha. Lakini ajabu deni la Taifa linazidi kupaa na mpaka sasa Serikali inahangaika Kukopa tena takribani 2Trillion kwaajili ya Ku Finance Bajeti ya Nchi 2016/2017.

Je, Mh Rais Kunani tena, Kauli na imani hiyo imefia wapi?
Pili, Je, tuendelee kuziamini kauli zako nzito kama hizi?
Na tatu, Je, Kweli Nchi yetu kwenye Utawala wako wa awamu ya 5 unaamini Tanzania itakuja Kuwakopesha Nchi zingine kama Ulivyotuaminisha?


Nilivyo ielewa kauli hiyo aliyotumia kwenye kampeni zake:
…..anayo vision, siku moja Tanzania ije kuwa Donor country. Utekelezaji wa vision hiyo hauwezi kuja ghafla bali ni hatua pamoja na michakato mbalimbali inayohitaji muda kabla ya kufikia lengo. Hata hao donor countries hawakuanza tu kwa kuwa donors, bali walipitia hatua fulani kwanza na muda wa kutosha …
 
Nilivyo ielewa kauli hiyo aliyotumia kwenye kampeni zake:
…..anayo vision, siku moja Tanzania ije kuwa Donor country. Utekelezaji wa vision hiyo hauwezi kuja ghafla bali ni hatua pamoja na michakato mbalimbali inayohitaji muda kabla ya kufikia lengo. Hata hao donor countries hawakuanza tu kwa kuwa donors, bali walipitia hatua fulani kwanza na muda wa kutosha …
Ngumu mkuu wangu, maana upuuzi wote huu umesababishwa na Wao wenyewe. Naye anaendekeza chuki tu, hamna jipya. Unadhani yeye ni bora kuliko waliyomtangulia?
 
Back
Top Bottom