Rais Magufuli, vipi ndoto ya kuzikopesha nchi nyingine duniani imeishia wapi?

Kati ya wapuuzi itakua na wewe ni mmoja wapo...kwani serikali hii ni mpya au nafasi aliyoishika ndo mpya..?Mengine sio lazma uchangie
Hao ndivyo walivyo, huwa kila hoja ni kuinga mkono serikalli, angalia sample za wabunge wao.
 
Subiri kijana , haraka ya nini ?

Tutahakikisha Tanzania inauza mitumba ulaya .
Hahahaa, lakini dalili ya Mvua ni Mawingu mkuu. Unaona tunaambiwa hata huko Ulaya wamepewa masharti magumu ya Mkopo wa 2.1Trillion, ambapo itakuwa ukweli ni kutokana na kuona Nchi haendeshwi kwa Utawala bora.
 
Hahahaa, lakini dalili ya Mvua ni Mawingu mkuu. Unaona tunaambiwa hata huko Ulaya wamepewa masharti magumu ya Mkopo wa 2.1Trillion, ambapo itakuwa ukweli ni kutokana na kuona Nchi haendeshwi kwa Utawala bora.
Unajua hawa viongozi wa Tanzania walikuwa wanadhani sumu inaonjwa , kwa nchi duni kama hii kuleta jeuri ya kukandamiza demokrasia na kupora ushindi wa Maalim Seif ni kujikaanga yenyewe , na hapa bado mbona mjomba.
 
Mbona jamhuri ya kagera ilivyopata majanga walikuja kutukopesha,sema tu mkuu aligoma sababu ya vipaumbele vingine
 
Salaam!

Ni moja ya Kauli alizotumia kwenye Kampeni zake kuwa Tanzania siyo ya Kulia lia na Misaada maaana ina pesa ya Kutosha. Lakini ajabu deni la Taifa linazidi kupaa na mpaka sasa Serikali inahangaika Kukopa tena takribani 2Trillion kwaajili ya Ku Finance Bajeti ya Nchi 2016/2017.

Je, Mh Rais Kunani tena, Kauli na imani hiyo imefia wapi?
Pili, Je, tuendelee kuziamini kauli zako nzito kama hizi?
Na tatu, Je, Kweli Nchi yetu kwenye Utawala wako wa awamu ya 5 unaamini Tanzania itakuja Kuwakopesha Nchi zingine kama Ulivyotuaminisha?
Unataka ndani ya mwaka mmoja wa utawala wake akopeshe nchi zingine?
 
Yep, hii sasa ni komedi nyingine. Inawezekana kweli kuna walioamini hiyo kauli? Yaani wasijue tofauti kati ya lugha ya kampeni na utawala halisi? Lakini pia ni kweli kuwa mtu akiona jamii ina villaza wengi basi huwauzia ujinga mkubwa zaidi. Ni kama yule zuzu mwingine aliyetuarifu kuwa tangu serikali hii iingie madarakani viwanda vipya 1,845 vimeanzishwa! Yaani kama vile sie hatujui tofauti ya kiwanda na jiko au karakana, at best! Bila shaka washatuona majuha sana.

Sasa tunasubiri ukuta ujengwe kati ya Mexico na USA tuone na wenzetu huko duniani nao wana hali gani vichwani. Mwanzoni waliambiwa Mexico italipia. Juzi wameambiwa serikali itagharamia ili kuharakisha utekelezaji halafu bili itawasilishwa Mexico kwa malipo! Pengine tutapata faraja kwamba majuha si peke yetu.
 
Back
Top Bottom