Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,599
- 112,652
nna hamu na kampeni tu
umetisha mkuu.Yeye alisema pesa wameficha wafanya biashara wakubwa
Akatishia na kuzibadilisha
Akaja na kauli nyingine fanyeni kazi pesa mtaziona,tukasema sawaaa, tena Leo pesa zitapotea
Naanza kuhisi inawezekana mheshima nae hajui kama pesa IPO au haipo
Mkuu huyu jamaa haeleweki kabisa .. Badae atakuja kutoa kauli ya kumuaibisha mkuu wa Wilaya na mkoa.. Kwamba anaachaje watu wanakufa kwakikosa chakula.. Wakati Leo kasema hakuna kupeleka chakula...umetisha mkuu.
asante kwa kutukumbusha.
It's complicated. Wapiga dili walikuwa wakila na "wasafi": pesa za dili zilikuwa na mtiririko mrefu hadi kwa wanyonge! Sasa jamaa kaminya bila kujua hata hao wanyonge anaowapigania nao wanaisoma namba hiyohiyo. Anyway, kikubwa ni aharakishe mfumo endelevu wa uchumi utakaodhibiti mafisadi na hapohapo kutiririsha manufaa kwa wengi.
Mkuu sina ukabila. Ila kwa yanayoendelea ni kama Faru John anaendesha nchi kwa kufuata ukabila. Mbinafsi, mwenye chuki, muonevu, na mengine yote unayoweza kuyasema kabla hajafa. Maana sie wabongo mtu akifa tunamsindikiza na sifa za bandia.Futa ukabila rohoni mwako