n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
Asema bila kujali ulianzishwa na nani na kwa malengo gani ni uwekezaji usio na tija. Ungefanywa na kampuni binafsi ingeeleweka
Asisitiza, tena kwa sasa ndo haufai kabisa kufuatia Serikali kuhamia Dodoma.
Amewataka NSSF kujitafakari juu ya uwekezaji huu.
Amesema kama SSRA wangekuwa makini miradi kama hii isingekuwepo.
Soma pia:
Mradi wa Ujenzi wa Mji wa Kigamboni ulioanzishwa na NSSF (Dege Eco Village) unapigwa mnada - JamiiForums
Ujenzi Mkubwa unaoendelea Kigamboni(Dege Eco Village), ni mradi wa nani? - JamiiForums
Asisitiza, tena kwa sasa ndo haufai kabisa kufuatia Serikali kuhamia Dodoma.
Amewataka NSSF kujitafakari juu ya uwekezaji huu.
Amesema kama SSRA wangekuwa makini miradi kama hii isingekuwepo.
Soma pia:
Mradi wa Ujenzi wa Mji wa Kigamboni ulioanzishwa na NSSF (Dege Eco Village) unapigwa mnada - JamiiForums
Ujenzi Mkubwa unaoendelea Kigamboni(Dege Eco Village), ni mradi wa nani? - JamiiForums