Kwa akili yako unafikiri kwa nini nchi inakua na kiongozi,
Kwa hali inavyo endelea wew na hata huyo jiwe inaweza msifike hata August Ule ugonjwa wa Mapapai na Mafenesi utakuwa umesha wafyekelea mbali.Nyie chadema endeleeni kubwata
Tunawasubiri October tuwafute
Mwongozo uliopo toka kwa kiongozi wetu ni: "chapeni kazi". Sasa wewe badala ya kuchapa kazi unaleta umbeya hapa ili kufurahisha mabeberu!!Naandika hili andiko nikitumia haki yangu ya kikatiba kutaka kujua rais Magufuli yupo wapi...Tuna haki ya kujua maana hatujui aliko na kwenye Ikulu zote mbili hajaonekana kwa zaidi ya mwezi na huu ni mwezi wa pili sasa. Tumesikia amekataa kuhudhuria mkutano wa SADC kwa Webinar na mkutano wa EAC kujadili CORONA imeonekana hataki kujihusisha....Rais nia yako ni nini?
Leo rafiki yake mkuu Raila Odinga ameonekana kwenye Television akisema amemtafuta kwa simu na kumwachia message hajibu.....Inatisha sana kuona hataki kuongea na Taifa hasa kwenye mapambano haya ya CORONA (Viongozi wote wanakuwa kwenye podiun wakijadili au wakiongea na Press kuhusu mikakati ya kuzuia na kuutokomeza ugonjwa wa CORONA, Yeye haeleweki yupo wapi na strategies zipi anatumia ili tuwe salama)
Tumeona kwenye magazeti mipaka inafungwa na baadhi ya nchi majirani zetu, tunaona magari na madereva wetu wanakatazwa kuingia karibu nchi zote jirani, tumesikia pia madereva wetu wengi wanaopimwa hizi nchi wamepatikana na ugonjwa wa CORONA!!!
Rais Magufuli una nia gani na Taifa hili? Weka wazi nia yako ili watanzania tujue kuwa DIRECTION GANI.
Mheshimiwa rais, katika kipindi hiki tungependa kusikia strategies zipi zinatumika ili wananchi wetu wasipotee.
Kama mwananchi wa kawaida ni haki yangu kujua alipo rais na ana nia gani na nchi yetu....
Umemjibu vizuri sana!!Kwani na wewe unazani Kwanini Kuna viongozi mbali mbali. Umemkosa wapi Rais. Ulikuwa na Shida naye. Sema ndo hivyo majungu chakula chenu. Akiongea tabu. Akigawa madaraka tabu. Fanya hayupo mkuu. Vipi raha
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mshenzi hapo alitumia lugha yenye staha.?Rafiki yangu punguza hasira, siku nyingine jaribu kutumia lugha yenye staha kidogo
Wewe nae kila siku october tuambie Jiwe yuko wapi kwanini kakimbia ofisi kuu.Nyie chadema endeleeni kubwata
Tunawasubiri October tuwafute
Marais hutafutana kwa simu maalumu kupitia wasaidizi wao acha uzandikiNaandika hili andiko nikitumia haki yangu ya kikatiba kutaka kujua rais Magufuli yupo wapi...Tuna haki ya kujua maana hatujui aliko na kwenye Ikulu zote mbili hajaonekana kwa zaidi ya mwezi na huu ni mwezi wa pili sasa. Tumesikia amekataa kuhudhuria mkutano wa SADC kwa Webinar na mkutano wa EAC kujadili CORONA imeonekana hataki kujihusisha....Rais nia yako ni nini?
Leo rafiki yake mkuu Raila Odinga ameonekana kwenye Television akisema amemtafuta kwa simu na kumwachia message hajibu.....Inatisha sana kuona hataki kuongea na Taifa hasa kwenye mapambano haya ya CORONA (Viongozi wote wanakuwa kwenye podiun wakijadili au wakiongea na Press kuhusu mikakati ya kuzuia na kuutokomeza ugonjwa wa CORONA, Yeye haeleweki yupo wapi na strategies zipi anatumia ili tuwe salama)
Tumeona kwenye magazeti mipaka inafungwa na baadhi ya nchi majirani zetu, tunaona magari na madereva wetu wanakatazwa kuingia karibu nchi zote jirani, tumesikia pia madereva wetu wengi wanaopimwa hizi nchi wamepatikana na ugonjwa wa CORONA!!!
Rais Magufuli una nia gani na Taifa hili? Weka wazi nia yako ili watanzania tujue kuwa DIRECTION GANI.
Mheshimiwa rais, katika kipindi hiki tungependa kusikia strategies zipi zinatumika ili wananchi wetu wasipotee.
Kama mwananchi wa kawaida ni haki yangu kujua alipo rais na ana nia gani na nchi yetu....
Unataka kila siku aongee, wasaidizi wake wanafanya kazi gani? FUATILIA MIONGOZO KUTOKA WIZARA YA AFYAKwa akili yako unafikiri kwa nini nchi inakua na kiongozi,
Nani alimwambia aombe kazi asiyoiwezaPambana na hali yako kijana, unatakaa magufuli aje akulishe chakula, au unatake aje mlale wote chumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kubwata huku ukiwa chumbani tu, huna madhara kijana,Wewe ni mbwa mshenzi, Pamoja na kwamba mama yako ni muuza kilabu cha mataputapu kilabuni na wewe alikupata kilabuni ndiyo maana unafikiria kwa kutumia kisogo. Mshenzi na mbwa usiye na akili.
Endelea kubwata huku ukiwa chumbani tu, huna madhara kijana,
Chadema mwaka huu mtabwata mpaka koo zipasuke
Sent using Jamii Forums mobile app