Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,381
- 24,979
dogo jipe kazi,sio matatizo. sawa??Kusema kweli.hatuna rais
Ukiwa wew ndio baba mwenye nyumba akatokea mwizi kuja kudhuru familia yako na wewe baba ukajificha uvunguni jua wewe ni boya sio baba
Yuko Chato.
Mwongozo uliopo toka kwa kiongozi wetu ni: "chapeni kazi". Sasa wewe badala ya kuchapa kazi unaleta umbeya hapa ili kufurahisha mabeberu!!
Niwaombe watanzania wenzangu tuwajibu watu kama hawa kwa kuchapa kazi!! Peleka jibu kwa mabeberu kuwa "Watanzania wanachapa kazi"
Niwaombe watanzania wenzangu kws kipindi hiki tuwe macho sana na hujuma !!. Kwa mfano watanzania watakaolazimika kusafiri nje ya nchi ni vizuri wakapima kabla ya kuondoka. Maana wakipimwa huko nje wanaweza wakabambikizwa corona ili nchi yetu ionekane watu wake wote wana corona!!
Pia inasikitisha.Dalili za mvua mawingu ,Hizi ni dalili za Jiwe kushindwa kazi.
Umejuaje??Mpaka simu za Museveni, Ramaphosa,na swaiba wake Raila Odinga hapokei.