Rais Magufuli upo sahihi kwa 100% unapothubutu kuhoji ubora wa Chanjo ya Corona

Deogratias Mutungi

Senior Member
Oct 1, 2019
137
179
Salaam Wana JF.

Nianze andiko hili kwa kurejea usemi huu usemao "Africa consumes what it does not produce and produces what it does not consume" Kuna mantiki pana juu ya usemi huu na kinachoendelea kwa sasa dhidi ya chanjo ya Covid 19, Rais wa Tanzania ameibua mjadala mpana ndani na nje ya Tanzania baada ya kuhoji ubora wa chanjo inayoendelea kutolewa kwa sasa kama sehemu ya mapambano dhidi ya Corona, Wapo wanaobeza na kukejeli juu ya kauli ya mkuu wa nchi, lakini ukweli ni kwamba Rais Magufuli yupo sahihi kabisa kuhoji na kutaka kujiridhisha dhidi ya ubora wa chanjo hiyo, kabla haijafanya kazi kwetu na huu ndio uongozi wa kujali na kulinda watu dhidi ya afya zao, Ni Rais Magufuli tu aliyethubutu kuhoji mpaka sasa kwa viongozi wa bara la Afrika, sijasikia mwingine mpaka muda huu.

Ukweli ni kwamba Tanzania sio kuwa tunaishi katika sayari tofauti na hii ya dunia la asha! wala Tanzania sio kisiwa tunahitaji kushirikiana na Wanadunia wenzetu pale inapohitajika kuungana na kupambana kwa pamoja, lakini sio kila kitu kinacholetwa kwetu tukubaliane nacho bila kuhoji na kudadisi faida, athari, ubora na umuhimu wake kwa afya ya binadamu, hata kama wenzetu wameamua kukubaliana na Jambo/kitu hicho. Bahati mbaya tumekuwa na watu wenye kariba tofauti katika jamii zetu wengi wao wakiwa ni wale "wa bora liende na kuthamini cha wazungu vs cha mwafrika" Huu ni utumwa kama ulivyo utumwa mwingine.

Mantiki ipo wazi ukiwauliza wale wote wanaombeza na kumshambulia Rais hasa Watanzania kuwa "Wanauelewa gani juu ya ubora wa hii chanjo wanayoishadadia?" hamna jibu la msingi zaidi ya Wazungu hawakosei na wanajua zaidi ya Mwafrika, Je Waafrika tutajipenda na kujithamini lini? Kwanini tunajibagua na kuona hatufai kwa lolote, nani aliye "tuchawia", Nilitegemea kauli ya Rais Magufuli itaonyesha njia na kumuunga mkono kwa kile alichokihoji badala yake imeonekana kama nongwa na dhambi fulani hivi, huu ni upuuzi kabisa kubeza maono ya viongozi wetu wanaothamini utu wa mwafrika na afya yake kwanza, ni Mara ngapi tunasikia athari ya chanjo tofauti tofauti zinazoletwa Afrika? au nalo hilo hatuna habari nalo, Je ni bora kwenda kuchanjwa tu bila kujua madhara ya hapo badae ya chanjo hiyo? ni bora kuhoji kuliko kutohoji kabisa.

Nilifikri hoja za Watanzania zitakuwa katika upande wa kuhamasisha wanasayansi wetu kutafiti na kutengeneza chanjo dhidi yetu lakini imekuwa tofauti kabisa badala yake tumekuwa vinara wa kushadadia chanjo tusiyoijua A to Z yake ni ipi katika afya zetu, Je liko wapi kosa la Rais Magufuli katika hoja yake dhidi chanjo ya Corona? Kwasababu tunapenda vya uzunguni miaka ya 1996 tuliwai kuingiziwa maziwa ya mbwa" fresh" sokoni na watu wakayatumia bila kuhoji japo badae ilikuja kubainika na kupigwa marufuku, tutangulize maslahi ya Uafrika wetu na tusikubali kupokea kila aina ya huduma bila kuhoji faida na hasara zake.

Deogratias Mutungi
 
Chanjo/tiba za kisayansi ambayo watu wameumiza vichwa vyao, pesa nyingi, huwezi zingumzia kimipasho vile, kwani alishindwa nini kusema tu, zitatumika nchini baada ya wataalam wetu kuzizibitisha(kama huo uwezo wanao lakini)ilikuwa inatosha tu, na angeeleweka tu!

Kama ina tatizo mnakuja na findings zenu, za kisayansi!!sasa huwezi kuja tu na kusema eti mbona chanjo ya ukimwi haipo, malaria(cjui nayo ina chanjo)?, eti kwanini wapate ya covid19?!!kweli ina mantic hii??nasema hivi WHO, wameshasema ni chanjo ya lazima ni hutasafiri kwenda nchi nyingine bila kuwa na chanjo, haya TZ, ni kisiwa tuishi humu humu si tunajiweza!!waulize DRC, kilichowakuta kwenye ebola, baada ya kuleta ngojela kama hizi!!eti ni chanjo ya kupunguza population ya wafrika!!na wazungu wakatulia zao!!kuwaangalia!!kilichowakuta hadi chanjo hazikutosha, leo kuna ebola?
 
Chanjo/tiba za kisayansi ambayo watu wameumiza vichwa vyao, pesa nyingi, huwezi zingumzia kimipasho vile, kwani alishindwa nini kusema tu, zitatumika nchini baada ya wataalam wetu kuzizibitisha(kama huo uwezo wanao lakini)ilikuwa inatosha tu, na angeeleweka tu!!kama ina tatizo mnakuja na findings zenu, za kisayansi!!sasa huwezi kuja tu na kusema eti mbona chanjo ya ukimwi haipo, malaria(cjui nayo ina chanjo)?, eti kwanini wapate ya covid19?!!kweli ina mantic hii??nasema hivi WHO, wameshasema ni chanjo ya lazima ni hutasafiri kwenda nchi nyingine bila kuwa na chanjo, haya TZ, ni kisiwa tuishi humu humu si tunajiweza!!waulize DRC, kilichowakuta kwenye ebola, baada ya kuleta ngojela kama hizi!!eti ni chanjo ya kupunguza population ya wafrika!!na wazungu wakatulia zao!!kuwaangalia!!kilichowakuta hadi chanjo hazikutosha, leo kuna ebola??
Kwani waliowekeza unafikiri hawakujua watarudisha kwa njia hipi? Why Bill anatajwa sana kwenye issue ata huko kwao kiasi katoka kukanusha?
 
Ngoja ifanye kazi ,itakuwa kama ile dawa ya Madagascar ilipelekwa wapi kwanza halafu mkaambiwa nikwa ajili ya utafiti.Sasa chanjo itakuwa the same.Usiwaamini wanasiasa hata kidogo wewe .Fanya kazi yako ,jikinge Akili kwa kichwa
 
.....lakini huyo anayejiita mwendawazimu hakuona shida kupanga foleni kupata kikombe cha Babu ambacho hakikufanyiwa utafiti wa aina yoyote ile!!!! Nileteeeeeeeeni gwajimaaaaaaaaa
1611951062986.jpeg
 
01: Chanjo zimepitia hatua zote za Kisayansi ikiwemo majaribio na ikathibitika inafaa kwa matumizi ya wanadamu.

02: Wazungu tayari wameshaanza kuitumia na wameendelea kuagiza kwa wingi. Haulazimishwi, lakini pia usilazimishe kwenda kwenye nchi zao kama haujachanjwa.

03: Chanjo siyo tiba.
 
Chanjo/tiba za kisayansi ambayo watu wameumiza vichwa vyao, pesa nyingi, huwezi zingumzia kimipasho vile, kwani alishindwa nini kusema tu, zitatumika nchini baada ya wataalam wetu kuzizibitisha(kama huo uwezo wanao lakini)ilikuwa inatosha tu, na angeeleweka tu!!kama ina tatizo mnakuja na findings zenu, za kisayansi!!sasa huwezi kuja tu na kusema eti mbona chanjo ya ukimwi haipo, malaria(cjui nayo ina chanjo)?, eti kwanini wapate ya covid19?!!kweli ina mantic hii??nasema hivi WHO, wameshasema ni chanjo ya lazima ni hutasafiri kwenda nchi nyingine bila kuwa na chanjo, haya TZ, ni kisiwa tuishi humu humu si tunajiweza!!waulize DRC, kilichowakuta kwenye ebola, baada ya kuleta ngojela kama hizi!!eti ni chanjo ya kupunguza population ya wafrika!!na wazungu wakatulia zao!!kuwaangalia!!kilichowakuta hadi chanjo hazikutosha, leo kuna ebola??
Kwa hiyo mtu akitumia mamilioni pesa zake lakini mwisho wa siku anakuja kuvuna mabilioni kutoka kwako hiyo kwako ni sawa.

Kampuni za kutengeneza chanjo hazikupi muda wa kuzikagua chanjo zao, wanachokupa ni makaratasi ya utafiti tu na kukwambia uwachome watu wako mara baada kupokea hizo chanjo. "No questions asked"

Tena kama likitokea janga, huwezi kushitaki hizo kampuni ili kulipwa fidia, unashitaki serikali yako iliyoruhusu hizo dawa zitumike.
 
Chanjo/tiba za kisayansi ambayo watu wameumiza vichwa vyao, pesa nyingi, huwezi zingumzia kimipasho vile, kwani alishindwa nini kusema tu, zitatumika nchini baada ya wataalam wetu kuzizibitisha(kama huo uwezo wanao lakini)ilikuwa inatosha tu, na angeeleweka tu!!kama ina tatizo mnakuja na findings zenu, za kisayansi!!sasa huwezi kuja tu na kusema eti mbona chanjo ya ukimwi haipo, malaria(cjui nayo ina chanjo)?, eti kwanini wapate ya covid19?!!kweli ina mantic hii??nasema hivi WHO, wameshasema ni chanjo ya lazima ni hutasafiri kwenda nchi nyingine bila kuwa na chanjo, haya TZ, ni kisiwa tuishi humu humu si tunajiweza!!waulize DRC, kilichowakuta kwenye ebola, baada ya kuleta ngojela kama hizi!!eti ni chanjo ya kupunguza population ya wafrika!!na wazungu wakatulia zao!!kuwaangalia!!kilichowakuta hadi chanjo hazikutosha, leo kuna ebola??

Wajinga ndiyo waliwao.
 
Kwamba mko kwenye kuhoji ubora wa chanjo ambalo ni jambo la kisayansi lililoko nje ya uwezo wa uelewa wa huyo au hao wanao hoji?

Si kuwa mmegeuza hii kuwa fursa ya kisiasa ili kujivua kuwajibika ili kuwatelekezea wananchi gonjwa hili hatari linalo wapukutisha?


Longo longo za nini si mseme tu kuwa ni mpango wa kuyakimbia majukumu yenu kama serikali?
 
Waliogonga cha Madagascar waombwa na wadau kutoa mfano kwa hivi vipimo vipya vya Korona kutoka China!
... This will definitely cement our ties with our communist allies!
👊 😅 ✌️ ✌️
 
Ngoja ifanye kazi ,itakuwa kama ile dawa ya Madagascar ilipelekwa wapi kwanza halafu mkaambiwa nikwa ajili ya utafiti.Sasa chanjo itakuwa the same.Usiwaamini wanasiasa hata kidogo wewe .Fanya kazi yako ,jikinge Akili kwa kichwa

Hivi kweli ile dawa iliishia wapi? Prof wa Jalalani atueleze.
 
Chanjo/tiba za kisayansi ambayo watu wameumiza vichwa vyao, pesa nyingi, huwezi zingumzia kimipasho vile, kwani alishindwa nini kusema tu, zitatumika nchini baada ya wataalam wetu kuzizibitisha(kama huo uwezo wanao lakini)ilikuwa inatosha tu, na angeeleweka tu!!kama ina tatizo mnakuja na findings zenu, za kisayansi!!sasa huwezi kuja tu na kusema eti mbona chanjo ya ukimwi haipo, malaria(cjui nayo ina chanjo)?, eti kwanini wapate ya covid19?!!kweli ina mantic hii??nasema hivi WHO, wameshasema ni chanjo ya lazima ni hutasafiri kwenda nchi nyingine bila kuwa na chanjo, haya TZ, ni kisiwa tuishi humu humu si tunajiweza!!waulize DRC, kilichowakuta kwenye ebola, baada ya kuleta ngojela kama hizi!!eti ni chanjo ya kupunguza population ya wafrika!!na wazungu wakatulia zao!!kuwaangalia!!kilichowakuta hadi chanjo hazikutosha, leo kuna ebola??
 
Chanjo/tiba za kisayansi ambayo watu wameumiza vichwa vyao, pesa nyingi, huwezi zingumzia kimipasho vile, kwani alishindwa nini kusema tu, zitatumika nchini baada ya wataalam wetu kuzizibitisha(kama huo uwezo wanao lakini)ilikuwa inatosha tu, na angeeleweka tu!

Kama ina tatizo mnakuja na findings zenu, za kisayansi!!sasa huwezi kuja tu na kusema eti mbona chanjo ya ukimwi haipo, malaria(cjui nayo ina chanjo)?, eti kwanini wapate ya covid19?!!kweli ina mantic hii??nasema hivi WHO, wameshasema ni chanjo ya lazima ni hutasafiri kwenda nchi nyingine bila kuwa na chanjo, haya TZ, ni kisiwa tuishi humu humu si tunajiweza!!waulize DRC, kilichowakuta kwenye ebola, baada ya kuleta ngojela kama hizi!!eti ni chanjo ya kupunguza population ya wafrika!!na wazungu wakatulia zao!!kuwaangalia!!kilichowakuta hadi chanjo hazikutosha, leo kuna ebola?

Mkuu hapo kwenye Ebola naomba nikukumbushe kuwa wafanyakazi wa WHO walikuwa wanashukiwa na watu wa kongo kuwa wao ndio wanaeneza virusi vya ebola kwa makusudi kiasi kwamba wakawa wanauliwa na raia funzo langu hapo duniani sasa hivi kuna vita ya rasilimali na ndo mana magonjwa kama ebola hayaishi congo na pia ebola ni kirusi cha maabara( man made)

Kama ilivyokuwa bill gates anavyolaumiwa kutengeneza virusi vya huu ugonjwa unaosumbua Bots fomula yenu ipo hivi mnatengeneza tatizo amnangojea reaction kutoka kwa watu alafu badae mnaleta solution ( problem =reaction =solution) ndo virusi vinavyo fanya kazi.

Ili kirusi kiweze kukumaliza lazima mwili wako uwe katika hali flani ya hofu ambayo ukiwa na hofu inapunguza kinga ya mwili kufanya kazi. Na Raisi Magufuli hili analijua ndo mana msimamo wake upo imara.

Unafahamu ilichukua miaka mingapi kugundua chanjo ya polio na ni baada ya kuuwa watu wangapi?
 
Lugha aliyotumia siyo rafiki ktk jumuiya ya kimataifa. Anaweza kuwa na hoja nzuri lkn uwasilishaji ukamponza.

Tanzania ni mwanachqma wa WHO, na tuna wajibu wa kutimiza kwa mujibu wa sheria na taratibu za shirika hilo.

Kwahiyo WHO wamesema tuchanjwe, Tanzania tunagoma kwa maneno ya makufuru ya Magufuli, hakika tunatafuta balaa.
 
Kwa hiyo mtu akitumia mamilioni pesa zake lakini mwisho wa siku anakuja kuvuna mabilioni kutoka kwako hiyo kwako ni sawa.

Kampuni za kutengeneza chanjo hazikupi muda wa kuzikagua chanjo zao, wanachokupa ni makaratasi ya utafiti tu na kukwambia uwachome watu wako mara baada kupokea hizo chanjo. "No questions asked"

Tena kama likitokea janga, huwezi kushitaki hizo kampuni ili kulipwa fidia, unashitaki serikali yako iliyoruhusu hizo dawa zitumike.
Sasa kama hamtaki chanjo za Mabeberu, si mtengeneze za kwenu!! Au ndiyo ile ya KUJIFUKIZA ndiyo chanjo mliyo igundua?

Mnaleta jeuri na wakati hamna chochote cha kujivunia? Bajeti yenu tu ya Serikali, karibia nusu ya fungu lote mnalitumia kwa kulipana mishahara na posho nono!

Kwenye suala la utafiti na matibabu, mnapeleka hela kiduchu!! Hayo mabilioni mnayo waonea gere Mabeberu kuyavuna kupitia hizo chanjo zao, kwa nini msiyavune nyinyi kupitia Kampuni zenu?

Mbona chanjo nyingine tunazipokea kila siku kutoka kwao! Mfano chanjo za surua, ndui, polio, pepopunda, nk! Bado madawa mbalimbali mfano ARVs, dawa za TB, nk! Huko kote wasituwekee sumu ya kutuua isipokua tu kwenye chanjo ya Corona!!

Kweli awamu hii tumepatwa! Yaani ndani ya karne ya 21 watu zaidi ya milioni tunaendeshwa na mawazo na utashi wa mtu mmoja tu! Hatuna tofauti kabisa na ng'ombe.
 
Back
Top Bottom