bridalmask
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 2,195
- 1,167
Mleta Thread umenena ila hakika Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, daima Magu hatofanikiwa kwa dhamira zake na kutumia au kutegemea technique ya Political sympathy, kujifanya anataka kuwakomboa Watz. masikini na yeye eti ni masikini na matajiri waishi kama mashetani,hakunaga ndani ya CCM kwani Mungu alisha laani chama hicho na Watz. pia kwa maswahiba yasiyo na kikomo zaidi ya kuyapalilia ili watu tawale muda mrefu.