Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,379
- 30,829
Mzee JPM kunawakati inabidi nikupongeze tu hata Kama roho yangu haitaki .
Hawa jamaa zako ambao hawana faida kwa taifa kazi yao ni ndioooooooo na kupiga meza wanaumbuka vibaya Sana.
Kila siku yanakamwatwa kwa rushwa hii ndio Safi mzee baba yajifunze kuwa ushetani wao unamalipo hapahapa duniani.
Umewageuka mbayaaa na Sasa wanaona haya na wasirudi Tena mjengoni ili wajifunze kuwa watu wa haki.
Wakati upinzani ukilia wait walikuwa wanacheka na kupiga meza pwaa pwaa pwaa Sasa walie kivyao.
Orodha yangu mpaka Sasa waliokamatwa na takukuru kwa rushwa ni
Obama
Matayo David
Vikta serukamba nk
Ongezea uwajuao wengine.
Na bado Wala rushwa wakubwa nyie.
Hawa jamaa zako ambao hawana faida kwa taifa kazi yao ni ndioooooooo na kupiga meza wanaumbuka vibaya Sana.
Kila siku yanakamwatwa kwa rushwa hii ndio Safi mzee baba yajifunze kuwa ushetani wao unamalipo hapahapa duniani.
Umewageuka mbayaaa na Sasa wanaona haya na wasirudi Tena mjengoni ili wajifunze kuwa watu wa haki.
Wakati upinzani ukilia wait walikuwa wanacheka na kupiga meza pwaa pwaa pwaa Sasa walie kivyao.
Orodha yangu mpaka Sasa waliokamatwa na takukuru kwa rushwa ni
Obama
Matayo David
Vikta serukamba nk
Ongezea uwajuao wengine.
Na bado Wala rushwa wakubwa nyie.