Rais Magufuli, unakumbuka Ulimwengu alizungumza nini na leo yanatokea?

mr mkiki

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
5,583
11,659
"Akiwa katika mahojiano na kituo cha radio cha DW jana 31.12.2016 Jenerali Ulimwengu ameeleza ni kwa jinsi gani utawala huu ulivyo wa milipuko, kwamba inatokea matamko yanatolewa asubuhi kisha jioni yanabadilishwa".

Note.

Leo Januari Mosi 2017 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amezungumzia kuhusu upandishaji wa bei za umeme na kusema anamshukuru sana Waziri wa Nishati na madini kwa kutengua upandishaji wa bei ya umeme.

Note 2.

Nakala ya kuomba bei mpya ya umeme si ilienda wizarani?How come wizara haikushirikishwa kupanga bei au ndo tunachezeana hide and seek game?

C1FlnJhXAAA0h5e.jpg


Nini maoni yako.
 
Hivi umeielewa kweli hii post!!! Je, Umeisoma ile barua ya Mkurugenzi inayokwenda EWURA? Au wewe ni bendera fuata mwelekeo wa upepo!!

Post yako haina shida kabisa..mkuu,my concern is whosoever against the today's jipu.hivi hii tanesco mliiona ni safi sana au?
Waache wengine waje nao walete mabadiliko.
 
Mlete mada, naomba nikuulize tu swali la kawaida, je ukiangalia katika hiyo barua kuna sehemu yoyote wizara iliapproove hizo changes? Maana hiyo ilikuwa ni application ambayo ilihitaji approval ili iweze kuwa effected kwenye soko.
 
Back
Top Bottom