zunya
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 1,484
- 991
Maboso...!!!??Mlete mada, naomba nikuulize tu swali la kawaida, je ukiangalia katika hiyo barua kuna sehemu yoyote wizara iliapproove hizo changes? Maana hiyo ilikuwa ni application ambayo ilihitaji approval ili iweze kuwa effected kwenye soko.
si ndio yale yanakuaga kwenye vitindi ukiwa unagema ulanzi ukiweka mbeta yanakaa pale juu?
halafu ni matamu kweli kuyaramba maana nimeramba sana ile mambo.