Whitesmith
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 386
- 517
Sina nia yakukufundisha kazi, ama kukuelekeza nini kifanyike. Niko hapa nakumbushia tu!
Watanzania hawajawahi kuhishiwa mbinu Sizonje ukijua kunawia mikono mbele wao watanawia nyuma. Vipi kuhusu EFD machine?
Karibu kwetu Kariakoo japo una uchovu kwa jukumu la kuimarisha kijani kwa kuua nyekundu.
Hizi ndizo zile risiti za EFD machine? Na kwanini hizi machine haziishiwi na hitilafu? Najua wajuzi wa mambo watasema oooh uzandiki na uchochezi haya mambo ni ya kitaalamu.
Sizonje nisikuchoshe angalia timu vizuri
Watanzania hawajawahi kuhishiwa mbinu Sizonje ukijua kunawia mikono mbele wao watanawia nyuma. Vipi kuhusu EFD machine?
Karibu kwetu Kariakoo japo una uchovu kwa jukumu la kuimarisha kijani kwa kuua nyekundu.
Hizi ndizo zile risiti za EFD machine? Na kwanini hizi machine haziishiwi na hitilafu? Najua wajuzi wa mambo watasema oooh uzandiki na uchochezi haya mambo ni ya kitaalamu.
Sizonje nisikuchoshe angalia timu vizuri