All TRUTH
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 5,453
- 2,563
Kweli wewe ni JUHA kabisa kwani wenye 35 miaka ni wajinga ?? Ujuzi unajengwa mahala husika
Kwani wewe ulizaliwa unajua
Acha ubaguzi na wivu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wewe ulizaliwa unajua
Acha ubaguzi na wivu
Sipendi matumizi ya hili neno humu ila sina namna USIKURUPEKE/KUKURUPUKA
.
Miaka 35 ama 33 uajiriwe kwenye idara ya auditing kwa mfano kuna mwenzako toka ana 27 mwingine 25 yupo pale utaongeza kitu gani au ufanisi gani ofisini?
Sent using Jamii Forums mobile app