NANGA WA KWATA
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 347
- 232
Hii nchi siielewi kabisa kusimamisha ajira kwa muda usiojulikana na kuruhusu mikutano ya CCM kutumia gharama kubwa za pesa hii ni hatari kwa taifa labda niseme tu kwanini walioajiriwa mwezi wa tano mwaka huu serikali imewarudisha nyumbani kada mbalimbali mfano.
Afya ,mahakama,halmashauri kuu,mikoani,nk.
Je Pesa za kukodisha guest za kulala wajumbe wa mkutano mkuu CCM zimetoka wapi???
Wakati ajira mmesimamisha mkidai uhakiki kwanini hata mkutano wenu wa CCM msingeusimamisha kwa sababu ya zoezi muhimu la uhakiki??
Hao walioajiriwa mwezi wa tano wa huu mmewafanyia unyama sana kuwarudisha nyumbani bila kufata taratibu za kazi, serikali badilikeni 2020 kazi mnayo maana mnatuona sisi hatufai.
Afya ,mahakama,halmashauri kuu,mikoani,nk.
Je Pesa za kukodisha guest za kulala wajumbe wa mkutano mkuu CCM zimetoka wapi???
Wakati ajira mmesimamisha mkidai uhakiki kwanini hata mkutano wenu wa CCM msingeusimamisha kwa sababu ya zoezi muhimu la uhakiki??
Hao walioajiriwa mwezi wa tano wa huu mmewafanyia unyama sana kuwarudisha nyumbani bila kufata taratibu za kazi, serikali badilikeni 2020 kazi mnayo maana mnatuona sisi hatufai.