Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,363
- 17,913
chagu wa malunde, njoo usome tena maneno yako. Kama unaweza kuomba radhi ruksa. Kama bado unasimama palepale basi yaandike in bold capitalsTulia wewe mama,Lugola hajamfananisha JPM na Yesu bali alifanananisha namna anavyotatua kero kwa wananchi papo kwa papo ni sawa na namna Yesu alivyowa anawasaidia wenye shida papo kwa papo.