Rais Magufuli uliowachagua wakusaidie kazi uko nao kweli au umebaki peke yako vita ya maendeleo?

tramadol

JF-Expert Member
Oct 10, 2015
5,383
4,317
Rais Dr John Magufuli toka umeingia madarakani 6th November 2015 ulipanga mikakati mizuri na kuanzia kazi kwa speed Kali sana.

Na ulipotangaza Baraza la Waziri watanzania walikuwa na matumaini makubwa sana hasa baada baada ya utumbuaji majipu na ziara za kushitukiza ktk idara na maeneo tofauti ya Huduma kwa wanainchi!!

Pamoja na juhudi zako kubwa Mh Rais Magufuli hebu geuka nyuma kidogo kuangalia ile timu yako ya Mawaziri, DED,RC,DC n.k wako wote au wengi wao ulishawaacha 1000kms Hata huwaoni tena??

Kila siku nasikia sauti na maagizo yako tu kila kona,kila idara,kila sekta,je wanatakiwa kufanya hayo wako wapi Mh Rais??

Kila nikiangalia mabadiliko ninayoyatarijia kutoka ktk hotuba ya kwanza ya Rais pale Bungeni kama siyaoni!?!

Washauri wa Rais mko wapi?!?
 
Yupo Agrrey Mwanri yaani anaspeed mdomoni wakati maghu anakimbia majukwani na show off Mwanri ye anakunja uso kwa speed
 
Awamu hii ni ya "One man show". DED, DC DAS, RAS, N/waziri ama waziri akijitia kutia neno ama mkakati wake anakosolewa mbele ya hadhara.
Rejea issue ya :-
machinga- ma -RC walianza kuwapangia maeneo akawatapikia makavu.
-mwakyembe na issue ya vyeti vya kuzaliwa
 
Awamu hii ni ya "One man show". DED, DC DAS, RAS, N/waziri ama waziri akijitia kutia neno ama mkakati wake anakosolewa mbele ya hadhara.
Rejea issue ya :-
machinga- ma -RC walianza kuwapangia maeneo akaapikia makavu.
-mwakyembe na issue ya vyeti vya kuzaliwa
Kiukweli Kama kungekuwa na viongozi waliopanda basi moja na Rais wao basi nchi ingekuwa mbali Sana.
 
Kwanza edit hii post yako, sio alikuwa na mikakati mizuri, sema alikuwa na ahadi na maneno mazuri. Na kwa hili namsifu bado amekuwa ni mwenye maneno na ahadi nzuri mpaka sasa. Otherwise tuonyeshe hiyo mikakati ni ipi, iliandaliwa wapi na katika forums zipi na watekekezaji ni wepi? Kama tumeenda kuzindua barabara iliyozinduliwa na kuanza kutumika takribani miaka 3-5 huko nyuma, then what do you expect?
 
Rais Dr John Magufuli toka umeingia madarakani 6th November 2015 ulipanga mikakati mizuri na kuanzia kazi kwa speed Kali sana.

Na ulipotangaza Baraza la Waziri watanzania walikuwa na matumaini makubwa sana hasa baada baada ya utumbuaji majipu na ziara za kushitukiza ktk idara na maeneo tofauti ya Huduma kwa wanainchi!!

Pamoja na juhudi zako kubwa Mh Rais Magufuli hebu geuka nyuma kidogo kuangalia ile timu yako ya Mawaziri, DED,RC,DC n.k wako wote au wengi wao ulishawaacha 1000kms Hata huwaoni tena??

Kila siku nasikia sauti na maagizo yako tu kila kona,kila idara,kila sekta,je wanatakiwa kufanya hayo wako wapi Mh Rais??

Kila nikiangalia mabadiliko ninayoyatarijia kutoka ktk hotuba ya kwanza ya Rais pale Bungeni kama siyaoni!?!

Washauri wa Rais mko wapi?!?

Hawako kwenye basi moja kwa maana MaRC,DC na MaDED kawaacha kwenye basi la kamata kamata wapinzani weka ndani.Na hivyo ndivyo Vi-wonder vyao huko
 
Msaada ktk utendaji hutolewa kwa anayeuhitaji. Kumbuka mku wetu hana ya hayo
 
Kwanza edit hii post yako, sio alikuwa na mikakati mizuri, sema alikuwa na ahadi na maneno mazuri. Na kwa hili namsifu bado amekuwa ni mwenye maneno na ahadi nzuri mpaka sasa. Otherwise tuonyeshe hiyo mikakati ni ipi, iliandaliwa wapi na katika forums zipi na watekekezaji ni wepi? Kama tumeenda kuzindua barabara iliyozinduliwa na kuanza kutumika takribani miaka 3-5 huko nyuma, then what do you expect?
Huwezi kuwa na Ahadi bila kuwa na mikakati ya kutekeleza ahadi hizo.Ndiyo maana unasikia mikakati ya utekelezaji ktk kila bajeti ya Serikali.
 
Nilipomsikia anasema kwamba wanafunz waliopata ujauzito kwa utawala wake hatawapa nafas ya kurud shule nikajitosheleza kabisa kwamba hapa hatuna mtu
 
Watanzania walizoea kulala ndo maana wanashindwa kuadopt kasi ya mh. Wengi ni wazembe na wagumu kubadilika
 
Maendeleo yapi ambayo Rais ameshayaleta mpaka hivi sasa??

Unababaika na speech zake za majukwaani??

Akili nyingine bwana!

Mtu amekuta bei za bidhaa muhimu kwa mahitaji ya wananchi zikiwa nafuu hivi sasa kila kitu bei juu. Nipo Babati hapa Sukari kilo Sh 3700/, unga wa mahindi 2300/.

Kwako ndio maendeleo hayo??
 
Yupo Agrrey Mwanri yaani anaspeed mdomoni wakati maghu anakimbia majukwani na show off Mwanri ye anakunja uso kwa speed
nimecheka sana!
Jamaa anandita usoni kila akiongea anakunja uso
 
Maendeleo yapi ambayo Rais ameshayaleta mpaka hivi sasa??

Unababaika na speech zake za majukwaani??

Akili nyingine bwana!

Mtu amekuta bei za bidhaa muhimu kwa mahitaji ya wananchi zikiwa nafuu hivi sasa kila kitu bei juu. Nipo Babati hapa Sukari kilo Sh 3700/, unga wa mahindi 2300/.

Kwako ndio maendeleo hayo??
Ushauri wako ni UPI ili bei zishuke
 
Nilipomsikia anasema kwamba wanafunz waliopata ujauzito kwa utawala wake hatawapa nafas ya kurud shule nikajitosheleza kabisa kwamba hapa hatuna mtu
Kwahiyo Tanzania haina Rais?? Sasa kama nchi haina Rais mbona mizinga 21 inapigwa anapigiwa nani?

Baraza la Mawaziri liliteuliwa na nani??

Mbona vyama vya upinzani vimeambiwa siasa mpaka 2020 na vimetii na hakuna Rais

Je Rais angekuwepo ingekuwaje??
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom