Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Rais Magufuli kama mgombea wa Chama tawala, anatakiwa kutoa tamko la kukubali matokeo kwa namna yoyote yatakavyokuwa. Itakuwa jambo la hekima kujitokeza hadharani na kuonesha msimamo wake.
Mpinzani wake mkuu, Lissu, ameshasema kuwa akishinda au kushindwa kwa haki, yupo tayari kukubali matokeo.
Wote hawa wanaamini watashinda, lakini je Magufuli ukishindwa utakubali?
TUNAOMBA MSIMAMO WAKO KWA HILI
Mpinzani wake mkuu, Lissu, ameshasema kuwa akishinda au kushindwa kwa haki, yupo tayari kukubali matokeo.
Wote hawa wanaamini watashinda, lakini je Magufuli ukishindwa utakubali?
TUNAOMBA MSIMAMO WAKO KWA HILI