Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,633
- 28,635
Tutashona tu ila atakua amepata fundisho baada ya mshonoukute ni mume au mchumba wako sijui wakifanya kama unavyotaka hatima yako itakuaje. itabadi ukamuone fundi cherehani ashone hilo tobo
Tutashona tu ila atakua amepata fundisho baada ya mshonoukute ni mume au mchumba wako sijui wakifanya kama unavyotaka hatima yako itakuaje. itabadi ukamuone fundi cherehani ashone hilo tobo
Papa kati ya hao ni E. Lowassa hapana mtu kama huyo nchi hii, wengine wanaiga tu kwa kile alichokifanya yeye.Hao ni wadogo wadogo... we need the big fish in that ufisadi Ocean. Wanajuana hao.
Ndugu shida ya nyumbu wanakalili tu ,umesikia ametaja TRA bado anataka aambiwe wapi huyo mtumishi yupo,si ajabu kazi yao hawa nyumbu ni kuzungusha mikono tu lakini mukichwa ni kama debe shinda,makelele mengi upepo ukipita lakini ndani jepesiiiiikasema wa TRA
Amkamate anasubiri nn? 2020 sitotaka mtu wa kujichekesha kama JMKPapa kati ya hao ni E. Lowassa hapana mtu kama huyo nchi hii, wengine wanaiga tu kwa kile alichokifanya yeye.
Akina Mramba na Yona je walistahili nini?Majitu kama haya ndio yana stahili kifungo cha Maisha
ha ha ha ha umenichekesha kweli, vumilia tutafika tu lakini inauma kwelikweli dah!Mishahara ya TRA ilivyo jamaa anavuta 17 Mishahara kwa mwezi,je kavuta kwa miaka mingapi? Nchi hii dah unaweza kunywa sumu kijinga tu
Yaani ni wauwaji....halafu eti huyo anapelekwa mahakamani....hao walikuwa wakuwekwa uwanja wa mpira halafu anatunguliwa na bomu la kutungulia ndege...Kuna watu wana roho mbaya sana!
Ndugu sio kila kitu kinachotamkwa na Magufuli basi kiwe kweli, kama umemsikiliza vizuri amezungumza vitu viwili vyote vikiwa na takwimu ya 17.Usijifanye unajua sana mpaka kufikia hapo wameshajilizisha na ushaidi acha kukurupuka ww
Wewe nyeti yako imefilisiwa? mnaropoka tu sio kila habari ni kuishabikia mtaumbuka. mtu apokee mishahara 17 ni vema ukajiuliza hiyo yote ni ya umma au makampuni/mashirika binafsi?Huyo anatakiwa afilisiwe mpaka nyeti zake
uharo huwa unaachwa chooni ila kuna wengine wameamua kuuhifadhi kichwani for activities of daily living.magufuli ana vituko sasa mishahara 17 hata angeiba miaka 100 hazifiki hata robo za ya hela ya escrow mbona wao wajapelekwa mahakamani! kwanza huyo jamaa ni shujaa kwa kweli maana ametumia weakness ya wahusika vizuri.hapo aliyetakiwa kupelekwa mahakamani ni serikali ya ccm
Daah yani wewe nikikuita nyumbu ntakua nimekupendelea sana....jaribu kuficha upumbavu wako japo kidogoHiyo ni mizuka wewe.mwambie amtaje na ataje yupo taasisi gani.
Bavicha bana sasa ulitaka serikali imuachie tu huyo jamaa kisa pesa aliyochukua hazifiki za Escrow?magufuli ana vituko sasa mishahara 17 hata angeiba miaka 100 hazifiki hata robo za ya hela ya escrow mbona wao wajapelekwa mahakamani! kwanza huyo jamaa ni shujaa kwa kweli maana ametumia weakness ya wahusika vizuri.hapo aliyetakiwa kupelekwa mahakamani ni serikali ya ccm
Daaah watu wanaweza.
Hivi una tumbo gani la kula hela zote hizo? Natamani sana hawa watu wangewekwa hadharani hii tabia ya kikupe ikome.
Watu wengine ni walafi.
Watumishi waliohusika na watumishi hewa wachukuliwe hatua za kinhdhamu kwa kutia hasara serikali ili wengine wawe makini.
Usiishi kinyumenyume watu wanasonga mbeleWakati yote yanatokea CCM ilikuwa wapi na leo inahusiana vipi na hiki kinachotokea!?