Demokrasia ya Africa unazungumzia hii ya Kick the ace kwa Opposition? Yaani hii iliyofanyika kwenye serikali za Mitaa? Nikuulize swala moja, kwa Mungu hakuna linalowezeka, hivi ikaja ikatokea wapinzani wakatwaa Madaraka na wakaendeleza haya yanayofanya na Serikali ya CCM, hivi utaridhika? Nataka useme kwa ukweli wa nafsi yako utaiita ni demokrasia?Eksipiriensi yangu ni kwa uchaguzi wa Tanzania tuu. Hapa tunazungumzia uchaguzi wa Tanzania na demokrasia ya ki Tanzania ambayo ni sehemu ya African democracy.
P