Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,486
- 86,002
Hakuna tena Mpwa, ni changamsha gengeBraza J ashasema mnataka nini tena
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hakuna tena Mpwa, ni changamsha gengeBraza J ashasema mnataka nini tena
Sent from my iPhone using JamiiForums
Angekanusha Kwanza hii hauli kidogo tungemuelewaTatizo ni ile kauli ya awali, ''Nikuteue mimi, nikupe gari mimi, nikulipe mshahara mimi halafu umtangaze wa upinzani''
Mpiga kura kila alitafakari haya anachoka kabisa.
Yaani ukiuliza ni Watanzania wangapi walijua kuna hiyo hafla, hata kama ilitangazwa hatufiki 4%.Wanaosikilizaga hotuba za huyu jamaa na kumwamini huwa nawashangaa sana. Mtu tayari ameshateua mkurugenzi wa NEC ambaye ni kada wa CCM! Mnategemea nini hasa baada kuona yaliyofanyika kwenye civic polls?
Kwa hyo sasa wale watendaji kata hawatajificha kupokea fomu za wapinzani? Vipi mapolis hawatawatupa wagombea wa upinzani lupango? Vipi maDC?
Halafu uchaguzi ni mchakato huyu aliyezima siasa na anataka atambe yeye tu anawezaje kuaminiwa kwa kauli hii?Hayo yote yatafanyika, na hao mabalozi watakaohoji wataambiwa diplomasia sio kuingilia mambo yetu ya ndani. Bila tume huru ya uchaguzi hakuna kushiriki huo ushenzi. Tume huru idaiwe kwa nguvu kubwa ili hata hao mabalozi wakihoji iwe wako upande wa umma.
Kama vipi ndio nini?Katiba haiwezi kuchezewa kiasi hicho so ulichoandika ni nonsenseHata hivyo mpaka sasa hivi mm kwa upande Wangu bado sijaona ambae atapambana na mkuu kwenye urais Kama VIP aendelee tu mpaka atakapoachia kijiti 2025
Sent using Jamii Forums mobile app
Una maana utakuwa uteuzi wa bila kura kwa maana ya bila kupingwaHii ni ahadi nzuri sana, na victory margin ni ile ile ya 99.9% kama kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
P
Na usiombe kupigika hata kwa muda tu unakuwa mtu wa ajabu.!!