ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,080
- 858,528
Wapinge vitu vya maana, lakini leo rais akisema kala ugali wao watapinga watasema kala wali na ushahidi upo!Wote wanaounga hoja humu hamjui maana ya upinzani. Kwa mfano wapinzani wakawa upande wa raisi nani atampa changamoto raisi? Waacheni wapinzani wawe wanafanya hivyo ili raisi ajue kuwa kumbe ana mambo ya kufanya