Rais Magufuli tunyooshe tu,kama ndio hivi wapinzani wanavyo tufanyia sisi WANANCHI..

Wote wanaounga hoja humu hamjui maana ya upinzani. Kwa mfano wapinzani wakawa upande wa raisi nani atampa changamoto raisi? Waacheni wapinzani wawe wanafanya hivyo ili raisi ajue kuwa kumbe ana mambo ya kufanya
Wapinge vitu vya maana, lakini leo rais akisema kala ugali wao watapinga watasema kala wali na ushahidi upo!
 
Naunga mkono hoja
Wapinzani hawajui wanasimamia ajenda gani wamebaki kuota ota na kuweweseka usiku na kukabwa na majinamizi.
Sintomsamehe Mbowe kwa kukiharibu chama mwaka ule maana sasa kila ajenda tulinyang'anywa kutokana na kuja mzee yule.
 
Hayo yote uliyoyaandika ni mazuri sana na tungependa afanye mazuri zaidi, ila tatizo ni pale anapoamini kwamba anaweza kufanya kila kitu peke yake bila kushauliwa na asikosee.

Pia apunguze ubabe kwa wananchi wake make kuna vitu na sisi tunaona kabisa anakosea ila tukisema anatujibu ku*ya.
 
Hayo yote uliyoyaandika ni mazuri sana na tungependa afanye mazuri zaidi, ila tatizo ni pale anapoamini kwamba anaweza kufanya kila kitu peke yake bila kushauliwa na asikosee.

Pia apunguze ubabe kwa wananchi wake make kuna vitu na sisi tunaona kabisa anakosea ila tukisema anatujibu ku*ya.
Mkuu shida ni kwamba si kila USHAURI una maana kibaya zaidi wanaomshauri ndio Balaaa.....ACha tu aongoze anavyoona ni sahihi....tutamuhukumu 2020.......
 
Cocochanel vipi nakupenda mamy eeeeh mbona ivo ctakuwa mpinzani sikiliza ombi langu ntaacha siasa twende kwetu ukanywe ulanzi

Ha ha ha haaaaaaa wewe, eeeeh subiri watakuja watakaokuvutia

Ulanzi ni nini, napenda kufahamu.
 
mtoa mada nimekuelewa tatizo hapa kwa watu wengi tunaomba mkulu aunusuru uchumi wa nchi hii, hali mbaya sana, biashara nyingi zinakufa, purchasing power imedecline sana.
 
Umeandika mambo mengi kumbe hata alichosema Zito hujaelewa. Kasome tena uombe hata mtu akusaidie kukuelewesha.
 
Ili tujue wamechokwa tuweke tume huru ya uchaguzi na wakurungezi wasiwe sehemu ya tume pamoja na polisi kuwa neutral kabisa! Baada ya kushinda hapo tunawapa hongera nje hapo ni ushindi wa goli ka mkono!!
 
Hapana Wapinzani wa nchi tumewachoka kwa kweli...NYIE KILA SIKU NI KUBADILISHA maneno na kusahau kile ambacho mlikuwa mna kipigania AWALI....lets be honest kwa tabia yenu hii KAMWE sisi WANACHI hatuwezi waamini tena.....

Kwanini nasema hivi kutokana na haya yafuatayo..
-Kweli kabsa kwenye kipindi cha awamu zilizo pita mlipiga kelele kweli juu ya UFISADI ya kuwa unaipoteza nchi hii sasa leo kapatikana Mbabe wa kulisimamia hili na mpaka sasa tunaona matokeao yake NYIE NDIO KWANZA mnaanza kulialia.....
-Mlikuwa mnasema tunaibiwa sana kwenye MCHANGA WA DHAHABU leo kaja msimamiaji wa hiki KILIO CHENU mnaanza kubadilisha gia ANGANI hivi tuwaelewe vipi sisi WANANCHI??mfano mdogo tu ni kauli iliyo tolewa na ZITTO humu JF na tena huyu ndio alikuwa mstari wa mbele kweli kulipigania hili leo ndio kaja kuwa mstari wa mbele kupinga kauli yake...Huu ni UNAFIKI WA HALI YA JUU SANA,

-Ishu ya MADAWA ya kulevya mmeipigia kelele kweli KAPATIKANA Muhusika wa kupambana na hili NYIE NDIO MMEGEUKA watetezi WA MADAWA na hata kuwafuga chumbani kwenu.... KWA MTINDO HUU MSAHAU NCHI HII aiseeh
-Mlitukana sana JK ya kuwa ni RAIS dhaifu na mpole amekuja mkali mnaanza Kulia lia mnasema RAIS ni dikiteta.. uzuri ni kwamba hata JK wakati anaondoka ALIWAKUMBUSHIA KAULI yenu ya KUWA mliinita mimi MPOLE haya sasa nawaachieni CHUMA hiki....sasa udikteta unatoka wapi???

-Mlikuwa mnapinga sana safari za NJE za JK sasa kapatikana RAIS wa kulitekereza hili MNAKUJa NA PUMBA ZENU oooh RAIS anaipoteza TANZANIA kimataifa, mara oooh RAIS HAENDI NJE SABABU HAJUI kiingreza SA SIJUI mliambiwa SISI WATANZANIA tunakula KIINGEREZA.....

ACHENI UNAFIKI kabsa tunacho kiona HAPA KWA ASLIMIA kubwa ni UWOGA wenu wa kuona MAGUFULI anatutimizia KILIO CHETU sisi WATANZANIA, NDIO MAANA KILA SIKU NYIE NI KUTULETEA TAHARUKI huku mitaani na kutupotosha juu ya MAGUFULI ili hali hata sisi tunajionea UTENDAJI wake uliotukuka kweli.....
Ikifika 2025 tunaweza badilisha hata KATIBA tukamuongezea mingne na AKIONDOKA tunamuomba atuachie mtu WA karba YAKE......maana tuwewachoka na UNAFIKI wenu

RAIS MAGUFULI USISIKILIZE HAWA WAPUUZI we tunyoooshe tu MPAKA akili itengemae na utuachie UPINZANI UNAOJITAMBUA....

kibaya zaidi hawa WAPINZANI NDIO wachafu balaa machafu yote ndani ya NCHI HII ni wao na ndio WALEZI wakuu.....mfano mdogo tu mpaka leo hii yameshindwa kutupa mrejesho BEN yupo wapi hata HAWAONYESHI KUFATILIA NA KULITILIA MKAZO jambo hili mwisho wa siku wanabaki kukinzana kauli wao kwa wao.....sasa kama wanashindwa IJALI NYUMBA YAO NA KUJUA WANAFAMILIA WAO wapo wapi MTAWEZAJE kutulinda sisi WATANZANIA.......

nyota njema huonekana asubuhi
Kweli mkuu.Mtukufu raisi naomba uongeze kukaZa awa wapingA maendeleo tuachane nao
 
Hapana Wapinzani wa nchi tumewachoka kwa kweli...NYIE KILA SIKU NI KUBADILISHA maneno na kusahau kile ambacho mlikuwa mna kipigania AWALI....lets be honest kwa tabia yenu hii KAMWE sisi WANACHI hatuwezi waamini tena.....

Kwanini nasema hivi kutokana na haya yafuatayo..
-Kweli kabsa kwenye kipindi cha awamu zilizo pita mlipiga kelele kweli juu ya UFISADI ya kuwa unaipoteza nchi hii sasa leo kapatikana Mbabe wa kulisimamia hili na mpaka sasa tunaona matokeao yake NYIE NDIO KWANZA mnaanza kulialia.....
-Mlikuwa mnasema tunaibiwa sana kwenye MCHANGA WA DHAHABU leo kaja msimamiaji wa hiki KILIO CHENU mnaanza kubadilisha gia ANGANI hivi tuwaelewe vipi sisi WANANCHI??mfano mdogo tu ni kauli iliyo tolewa na ZITTO humu JF na tena huyu ndio alikuwa mstari wa mbele kweli kulipigania hili leo ndio kaja kuwa mstari wa mbele kupinga kauli yake...Huu ni UNAFIKI WA HALI YA JUU SANA,

-Ishu ya MADAWA ya kulevya mmeipigia kelele kweli KAPATIKANA Muhusika wa kupambana na hili NYIE NDIO MMEGEUKA watetezi WA MADAWA na hata kuwafuga chumbani kwenu.... KWA MTINDO HUU MSAHAU NCHI HII aiseeh
-Mlitukana sana JK ya kuwa ni RAIS dhaifu na mpole amekuja mkali mnaanza Kulia lia mnasema RAIS ni dikiteta.. uzuri ni kwamba hata JK wakati anaondoka ALIWAKUMBUSHIA KAULI yenu ya KUWA mliinita mimi MPOLE haya sasa nawaachieni CHUMA hiki....sasa udikteta unatoka wapi???

-Mlikuwa mnapinga sana safari za NJE za JK sasa kapatikana RAIS wa kulitekereza hili MNAKUJa NA PUMBA ZENU oooh RAIS anaipoteza TANZANIA kimataifa, mara oooh RAIS HAENDI NJE SABABU HAJUI kiingreza SA SIJUI mliambiwa SISI WATANZANIA tunakula KIINGEREZA.....

ACHENI UNAFIKI kabsa tunacho kiona HAPA KWA ASLIMIA kubwa ni UWOGA wenu wa kuona MAGUFULI anatutimizia KILIO CHETU sisi WATANZANIA, NDIO MAANA KILA SIKU NYIE NI KUTULETEA TAHARUKI huku mitaani na kutupotosha juu ya MAGUFULI ili hali hata sisi tunajionea UTENDAJI wake uliotukuka kweli.....
Ikifika 2025 tunaweza badilisha hata KATIBA tukamuongezea mingne na AKIONDOKA tunamuomba atuachie mtu WA karba YAKE......maana tuwewachoka na UNAFIKI wenu

RAIS MAGUFULI USISIKILIZE HAWA WAPUUZI we tunyoooshe tu MPAKA akili itengemae na utuachie UPINZANI UNAOJITAMBUA....

kibaya zaidi hawa WAPINZANI NDIO wachafu balaa machafu yote ndani ya NCHI HII ni wao na ndio WALEZI wakuu.....mfano mdogo tu mpaka leo hii yameshindwa kutupa mrejesho BEN yupo wapi hata HAWAONYESHI KUFATILIA NA KULITILIA MKAZO jambo hili mwisho wa siku wanabaki kukinzana kauli wao kwa wao.....sasa kama wanashindwa IJALI NYUMBA YAO NA KUJUA WANAFAMILIA WAO wapo wapi MTAWEZAJE kutulinda sisi WATANZANIA.......

nyota njema huonekana asubuhi

HUO NDIO UKWELI MTUPU.

Viongozi wa upinzani ni watu wazima, wasomi, waliokomaa kisiasa na siasa za uharakati, mabingwa wa majukwaa, maandamano, operesheni, kufitinisha, kukejeli, kudhihaki, kulalama na aina yote ya kunyooshea utawala vidole vya lawama.

Ni mtu mwenye nia mbaya tu na nchi hii, ambaye atakebehi juhudi za Rais Magufuli kurekebisha uozo katika utendaji kazi na uwajibikaji.

Viongozi wa upinzani sikilizeni sauti za wanyonge ambao nia yao ni maendeleo siyo nyie mnaotaka uhuru usio na mipaka au haki pasipo kuwajibika.

TUMEWACHOKA NA KELELE ZENU ZA KITOTO.
 
Hapana Wapinzani wa nchi tumewachoka kwa kweli...NYIE KILA SIKU NI KUBADILISHA maneno na kusahau kile ambacho mlikuwa mna kipigania AWALI....lets be honest kwa tabia yenu hii KAMWE sisi WANACHI hatuwezi waamini tena.....

Kwanini nasema hivi kutokana na haya yafuatayo..
-Kweli kabsa kwenye kipindi cha awamu zilizo pita mlipiga kelele kweli juu ya UFISADI ya kuwa unaipoteza nchi hii sasa leo kapatikana Mbabe wa kulisimamia hili na mpaka sasa tunaona matokeao yake NYIE NDIO KWANZA mnaanza kulialia.....
-Mlikuwa mnasema tunaibiwa sana kwenye MCHANGA WA DHAHABU leo kaja msimamiaji wa hiki KILIO CHENU mnaanza kubadilisha gia ANGANI hivi tuwaelewe vipi sisi WANANCHI??mfano mdogo tu ni kauli iliyo tolewa na ZITTO humu JF na tena huyu ndio alikuwa mstari wa mbele kweli kulipigania hili leo ndio kaja kuwa mstari wa mbele kupinga kauli yake...Huu ni UNAFIKI WA HALI YA JUU SANA,

-Ishu ya MADAWA ya kulevya mmeipigia kelele kweli KAPATIKANA Muhusika wa kupambana na hili NYIE NDIO MMEGEUKA watetezi WA MADAWA na hata kuwafuga chumbani kwenu.... KWA MTINDO HUU MSAHAU NCHI HII aiseeh
-Mlitukana sana JK ya kuwa ni RAIS dhaifu na mpole amekuja mkali mnaanza Kulia lia mnasema RAIS ni dikiteta.. uzuri ni kwamba hata JK wakati anaondoka ALIWAKUMBUSHIA KAULI yenu ya KUWA mliinita mimi MPOLE haya sasa nawaachieni CHUMA hiki....sasa udikteta unatoka wapi???

-Mlikuwa mnapinga sana safari za NJE za JK sasa kapatikana RAIS wa kulitekereza hili MNAKUJa NA PUMBA ZENU oooh RAIS anaipoteza TANZANIA kimataifa, mara oooh RAIS HAENDI NJE SABABU HAJUI kiingreza SA SIJUI mliambiwa SISI WATANZANIA tunakula KIINGEREZA.....

ACHENI UNAFIKI kabsa tunacho kiona HAPA KWA ASLIMIA kubwa ni UWOGA wenu wa kuona MAGUFULI anatutimizia KILIO CHETU sisi WATANZANIA, NDIO MAANA KILA SIKU NYIE NI KUTULETEA TAHARUKI huku mitaani na kutupotosha juu ya MAGUFULI ili hali hata sisi tunajionea UTENDAJI wake uliotukuka kweli.....
Ikifika 2025 tunaweza badilisha hata KATIBA tukamuongezea mingne na AKIONDOKA tunamuomba atuachie mtu WA karba YAKE......maana tuwewachoka na UNAFIKI wenu

RAIS MAGUFULI USISIKILIZE HAWA WAPUUZI we tunyoooshe tu MPAKA akili itengemae na utuachie UPINZANI UNAOJITAMBUA....

kibaya zaidi hawa WAPINZANI NDIO wachafu balaa machafu yote ndani ya NCHI HII ni wao na ndio WALEZI wakuu.....mfano mdogo tu mpaka leo hii yameshindwa kutupa mrejesho BEN yupo wapi hata HAWAONYESHI KUFATILIA NA KULITILIA MKAZO jambo hili mwisho wa siku wanabaki kukinzana kauli wao kwa wao.....sasa kama wanashindwa IJALI NYUMBA YAO NA KUJUA WANAFAMILIA WAO wapo wapi MTAWEZAJE kutulinda sisi WATANZANIA.......

nyota njema huonekana asubuhi

Nakubaliana na hizi hoja zote kwa asilimia mia, Piga kazi Kiongozi wetu shupavu, watoto wetu na vizazi vijavyo watakushukuru na kukumbuka maana unaona mbali sana kwa unayoyasimamia, wapinzani hasahasa chadema wanatushangaza sana, labda wanawaza leo tu ndio maana wanakuwa vigeugeu.... Kwa kiasi kikubwa unayoyasimamia ndicho kilikuwa kilio chetu na chao kwa muda mrefu. Uzalendo ni kuipenda nchi yako kwanza kwa dhati na kwa vitendo then mambo mengine kama ushabiki wa vyama nk yanafuhata. Inasikitisha hata mambo ya kijinga mtu anashabikia eti kwasababu mtu yupo chama tofauti. Akili ya wapi mtu unafikia stage ya kushabikia madawa ya kulevya! - Hopeless kabisa
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom