Rais Magufuli tunusuru vijana wako tunapitia kipindi kigumu

Wewe ni mwalimu ja unejiwazia wewe tu, angalau nyie miaka ya 2015 kushuka chini mlikuwa mnaajiriwa direct, ila lilikuwa suala la muda tu kabla hizo ajira hazijawa saturated (ni principle tu ya uchumi).

Vipi watu wa fani nyingine ambao toka miaka hiyo hakuna ajira za moja kwa moja toka serikalini?

Kwa muono wangu hii hali lazima tuipitie ili kuyafikia maendeleo, na tunapaswa kupigika zaidi ya hapa ili akili zikae sawa, by then kila mtu atachekecha akili jinsi ya kuishi.

Impact yake ni kwamba, ubunifu katika kazi biashara utaongezeka, wizi na utapeli utakua sana, umalaya na kujiuza pamoja na kurekodi mikanda ya ngono itakuwa kawaida, wengine watatoka na kwenda kujaribu maisha nje ya Tanzania.
 
Vyuo vinaingiza mapato kupitia ada ila wahitimu wanahenyeka mtaani. Imagine soko liko saturated tayari, wahitimu zaidi ya 200,000 kugombea ajira 13,000?

Madudu kwenye ajira hizi yameibua manunguniko na kukata tamaa miongoni mwa wahitimu na ndugu na jamaa zao, na kuwashushia morali ya uzalendo. Sasa kwa vile vyuo ndo vinajukumu la manpower planning kwenye nchi basi lazima vilazimishwe kupunguza udahili wa kozi za ualimu ili zije na kozi zinazofaa kwa wakati huu na ujao. e
Mnavyosema ualimu, ualimu, kwani walimu tu ndo hawaja ajiriwa?
 
Mkuu mimi saizi silembi

Kuna siku mzee nilimpa makavu, yeye ni mwanachama Wa ccm, nilimchana live bila kujali nitalala wapi akinifukuza!

Alikuwa anauliza maswali Kama hayo, na mimi niko na hasira, baada ya kuona majina ya hovyo ya kujirudia rudia tamisemi .!

Mzee alihisi nimechanganyikiwa ikabidi atulie tu!
huba adabu na usipomuangukia baba yako kazi utaisikia kwenye vyomb vya habari. mzaz wako hutaweza kumlipa chochote katika gharama aliyotumia kukufikisha hapo na ujinga wako.huwez kujua tu ila nakuonea huruma utapata tabu sana usipoomba radhi kwa mzee wako.ba usirudie kumkaripia mzaz wako. ni hatar sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasikitisha hapo bado behewa lingne kutoka vyuo miaka mitano ijayo, sijui mtaani patakuwaje
 
Just imagine upo katika kipindi cha majonzi una tafakari hili na lile baada ya kukosekana kwenye ajira! unaulizwa maswali kama haya na wazazi, ndugu na majirani;

Nasikia ajira zenu zimetoka. Vipi sasa umefanikisha? Unajibu sijafanikisha.
Anaendelea kuuliza, kwanini sasa au hukutuma maombi? Unajibu, maombi nilituma ila imetokea bahati mbaya sijafanikisha. Anauliza tena, mbona wengine wamepata wewe umekosaje? Unashindwa hata ujibu vipi hili swali ila kwakuwa umeulizwa unaamua kujibu kwamba mpangaji ni mwenyezi Mungu huenda hakuamua niwemo kipindi hiki alafu pia yale ni maombi kwahiyo kupata au kukosa ni sehemu ya matokeo.

Kiufupi tu! Ni kwamba ajira zinapotoka wazazi wetu wanaamini kwamba utapata. Sasa inapotokea kama hivi hujapata imani yao kwako inapungua wanaanza kufikiria labda ulifeli shule ila unaficha ndio mantiki ya kuulizwa maswali kama hayo!

Ukiachana na wazazi, jamii ndio kabisaa ukikosa ajira wanakuona si lolote si chochote. Just imagine mtu anakuuliza, umekosa ajira kwahiyo utaishije?

Wengine jinsi ajira hizi zinavyotoka wanaamini una ufaulu mdogo ndio maana umeachwa. Wengine wanasema badala ya kwenda chuo kusoma wewe ulienda kuendekeza umalaya matokeo yake chuo ulifeli ona sasa wenzako wameajiriwa wewe upo upo tu!

In fact vijana tunapitia kipindi kigumu sana. Kudharaulika kwingi, kuseng'enywa kwa sana, kusimangwa ndio usiseme.

Tunaomba mheshimiwa Rais utunusuru na masimango haya. Pamoja na kazi kubwa unayoifanya ya kulipeleka taifa letu mbele pia tukumbuke na sisi vijana wako tunanyanyasika sana mitaani!. Kwenye ajira 13000 ulizosema ni 8000 tu zimetoka, sema japo neno ili 5000 zilizosalia nazo zitoke angalau zitasaidia kupunguza idadi ya vijana wengine mtaani.
acha kulia lia mkuu, tafuta maisha mwenyewe jiajiri. Akili yako ndio mtaji wako. Kwanini usifungue shule yako?

Nilihitihimu Bachelor yangu ya kwanza mwaka 2014. Sikusomea ualimu lakini nilivyo ingia mtaani niligundua kazi ya ualimu ndio kazi nyepesi kabisa kujiajiri. ndipo nilipo amua kuanza kufundisha english course mara, baada ya kugundua watu wengi wanapenda kujua kuzungumza kiingereza. Hivyo kwa kua sikua na pesa ya kununulia ubao wala madawati, nilianza kufundisha mobile teaching. Hivyo nakwenda kwa mtu namfundishia kijana wake maisha yanasonga. Kiukweli nilikuja kugundua wapo watu wengi sana wanapenda kujifunza mambo ambayo Sisi tunayajua ili hawatupati tulipo. Maisha yaliendelea hivyo kwa kutumia mtaji wa akili yangu. Jina langu likawa maarufu pale mtaani. Watu mbalimbali wakanifahamu sana, nikakutana na watu wa kila namna nijenga connection, nikasahau habari za kutegemea serikali baadaye sana serikali ikaja kuniomba yenyewe nikafanye nayo kazi. Unaona mambo hayo.
 
Vijawa wavaa visuruali vya kubana Endeleeni kumenyeka hahahaha Hadi akili ziwakae sawa.
 
Pamoja na kazi kubwa unayoifanya ya kulipeleka taifa letu mbele pia tukumbuke na sisi vijana wako tunanyanyasika sana mitaani!.

moja ya vigezo ya kulipeleka taifa mbele ni uwezo wa serikali iliyopo madarakani kuzalisha ajira.

Quality Group ya Manji ilifungwa, mamia kwa maelfu wakapoteza ajira.
FastJet walichezewa rafu mamia kwa maelfu wakamwagika.
Dangote anafunga kiwanda, mamia kwa maelfu watamwagika
Mobisol nao inasemekana wanafungashiwa virago, mamia watamwagika
Magazeti ya Dimba yamefungwa, watu washamwagika.
Ngurudoto kuna tetesi haina wateja ambao kimsingi ni watalii na kwa kuwa sisi hatujulikani kama tuna 19 au hatuna they will never gamble on their lives. hoteli imegeuka hosteli. ni tetesi usiniamini.
Yuda nao inasemekana wanafunga shule. watoto warudi uchokorani na waalimu wakose ajira.

kiukweli serikali hii ina sera mbovu sana. na hii yote ni matokeo ya kuendesha nchi kwa mkono wa chuma katikati ya utandawazi. you never win. tunaumia kwa sababu ya mtu mmoja na makuwadi wake kina jalalani.
 
Just imagine upo katika kipindi cha majonzi una tafakari hili na lile baada ya kukosekana kwenye ajira! unaulizwa maswali kama haya na wazazi, ndugu na majirani;

Nasikia ajira zenu zimetoka. Vipi sasa umefanikisha? Unajibu sijafanikisha.
Anaendelea kuuliza, kwanini sasa au hukutuma maombi? Unajibu, maombi nilituma ila imetokea bahati mbaya sijafanikisha. Anauliza tena, mbona wengine wamepata wewe umekosaje? Unashindwa hata ujibu vipi hili swali ila kwakuwa umeulizwa unaamua kujibu kwamba mpangaji ni mwenyezi Mungu huenda hakuamua niwemo kipindi hiki alafu pia yale ni maombi kwahiyo kupata au kukosa ni sehemu ya matokeo.

Kiufupi tu! Ni kwamba ajira zinapotoka wazazi wetu wanaamini kwamba utapata. Sasa inapotokea kama hivi hujapata imani yao kwako inapungua wanaanza kufikiria labda ulifeli shule ila unaficha ndio mantiki ya kuulizwa maswali kama hayo!

Ukiachana na wazazi, jamii ndio kabisaa ukikosa ajira wanakuona si lolote si chochote. Just imagine mtu anakuuliza, umekosa ajira kwahiyo utaishije?

Wengine jinsi ajira hizi zinavyotoka wanaamini una ufaulu mdogo ndio maana umeachwa. Wengine wanasema badala ya kwenda chuo kusoma wewe ulienda kuendekeza umalaya matokeo yake chuo ulifeli ona sasa wenzako wameajiriwa wewe upo upo tu!

In fact vijana tunapitia kipindi kigumu sana. Kudharaulika kwingi, kuseng'enywa kwa sana, kusimangwa ndio usiseme.

Tunaomba mheshimiwa Rais utunusuru na masimango haya. Pamoja na kazi kubwa unayoifanya ya kulipeleka taifa letu mbele pia tukumbuke na sisi vijana wako tunanyanyasika sana mitaani!. Kwenye ajira 13000 ulizosema ni 8000 tu zimetoka, sema japo neno ili 5000 zilizosalia nazo zitoke angalau zitasaidia kupunguza idadi ya vijana wengine mtaani.
Wahenga walisema "Jogoo La Shamba Haliwiki Mjini "

- mtu wa kijijini aletwapo mjini shida kubwa sana hutokea !

- Just imagine ndege 11 cash money ?? Kama ni Utalii, kwa nini hoteli zinageuzwa Hostel ?

- Ushamba ni Shida Ya Zama Zote Ndugu Watanzania !
 
Mkuu mimi saizi silembi

Kuna siku mzee nilimpa makavu, yeye ni mwanachama Wa ccm, nilimchana live bila kujali nitalala wapi akinifukuza!

Alikuwa anauliza maswali Kama hayo, na mimi niko na hasira, baada ya kuona majina ya hovyo ya kujirudia rudia tamisemi .!

Mzee alihisi nimechanganyikiwa ikabidi atulie tu!
😀😀😀😀 ...nacheka utafikiri ni mazuri...pole sana,tuko kwenye hawam ya kutokuwa na furaha,tumwombe Mwenye Mungu atuondolee hili jinamizi...
 
Wazazi wanachoamini utadhani chuo mlikuwa kumi basi, kumbe kada tu ya ualimu ngaz zote (certificate, diploma na degree) mwaka mmoja tu mnamaliza zaid ya 60k, sasa imagine miaka imepita mitano no ajira zidisha mara 60k graduates for the average unapata wanafunz kwenye 300k+ wapo kitaa, alafu mtu anaajiri 13k🤣🤣🤣, mm nimekimbia maswali ya wazazi nipo huku sumbawanga sijui ata cha kufanya sina ata mia, nawaza niuze hii cm nipate ata mtaji wa karanga😢😢😢
Du! Mkuu taratibu Mkuu,sasa ukiuza simu, utawezaje kuliona ata hlo toleo la pili la ajira za ualimu?
 
Just imagine upo katika kipindi cha majonzi una tafakari hili na lile baada ya kukosekana kwenye ajira! unaulizwa maswali kama haya na wazazi, ndugu na majirani;

Nasikia ajira zenu zimetoka. Vipi sasa umefanikisha? Unajibu sijafanikisha.
Anaendelea kuuliza, kwanini sasa au hukutuma maombi? Unajibu, maombi nilituma ila imetokea bahati mbaya sijafanikisha. Anauliza tena, mbona wengine wamepata wewe umekosaje? Unashindwa hata ujibu vipi hili swali ila kwakuwa umeulizwa unaamua kujibu kwamba mpangaji ni mwenyezi Mungu huenda hakuamua niwemo kipindi hiki alafu pia yale ni maombi kwahiyo kupata au kukosa ni sehemu ya matokeo.

Kiufupi tu! Ni kwamba ajira zinapotoka wazazi wetu wanaamini kwamba utapata. Sasa inapotokea kama hivi hujapata imani yao kwako inapungua wanaanza kufikiria labda ulifeli shule ila unaficha ndio mantiki ya kuulizwa maswali kama hayo!

Ukiachana na wazazi, jamii ndio kabisaa ukikosa ajira wanakuona si lolote si chochote. Just imagine mtu anakuuliza, umekosa ajira kwahiyo utaishije?

Wengine jinsi ajira hizi zinavyotoka wanaamini una ufaulu mdogo ndio maana umeachwa. Wengine wanasema badala ya kwenda chuo kusoma wewe ulienda kuendekeza umalaya matokeo yake chuo ulifeli ona sasa wenzako wameajiriwa wewe upo upo tu!

In fact vijana tunapitia kipindi kigumu sana. Kudharaulika kwingi, kuseng'enywa kwa sana, kusimangwa ndio usiseme.

Tunaomba mheshimiwa Rais utunusuru na masimango haya. Pamoja na kazi kubwa unayoifanya ya kulipeleka taifa letu mbele pia tukumbuke na sisi vijana wako tunanyanyasika sana mitaani!. Kwenye ajira 13000 ulizosema ni 8000 tu zimetoka, sema japo neno ili 5000 zilizosalia nazo zitoke angalau zitasaidia kupunguza idadi ya vijana wengine mtaani.
Kuna walimu 3 walikuwa wanafundisha private masomo ya sayansi, wote wamepata ajira.

Baada ya hapo ndiyo wakasema ukweli kuwa tumepata lakini hatukuishia kutuma maombi tu tulipata kamati ya ufundi waliogusaidia mpaka jikoni kabisa kwa wanaopanga majina ndiyo kufanikiwa.

Hivyo hao elfu 8 waliopata inawezekana asilimia kubwa ni connection.

Hivyo tulipofikia mwenye nacho ndiyo huongezewa zaidi.

Pole sana mkuu.
 
Let's be honest, private sector duniani kote ndie muajiri mkubwa tofauti na public sector.

Hapa mheshimiwa afanye awezavyo atafute watu wenye brain ya kutengeneza ajira hasa manufacturing sector hasa agro processing ambayo ina cut down imports na kuongeza exports za finished goods, then in the course ya kukua huku kutaendana na serikali kukusanya zaidi kodi ili service sector kama elimu, afya na kilimo ambazo zimeajiri watu wengi nao wapata kazi.

Kuna mtu wakati mmoja alikiwa anatafuta audience ya Mkulu kuomba dhamana ya serikali; I know the guy, ili awekeze kwenye industry ambayo kwa mwaka nchi ina import goods worth 600 bil.

Dhamana ya serikali ilikuwa haizidi 15bil na ardhi ambapo zingezalishwa ajira zaidi ya 1,300;
Ilikuwa ngumu mpaka jamaa alikata tamaa maana sio rahisi ku-break red tapes.
TIB wana hela na kila mwaka zinabaki nao wanashangaa tu baada ya kuombwa either mkopo based on investment project proposals au dhamana ya mkopo ili wao wawe administrator wa investment funds.

JPM kama anaweza kuwa na back door channel ya namna ya watu kumfikia au kutengeneza team ya innovators; nchi hii izalishe ajira.

Sio kila mtu anaweza kujiajiri na huwezi kujenga sustainable economy kwa ajira za mtu mmoja mmoja,lazima kujenga sustainable working system za kuzalisha kazi.

Watanzania wenye akili tupo; we just need govt backup hasa kwenye uwekezaji.
 
Let's be honest, private sector duniani kote ndie muajiri mkubwa tofauti na public sector.

Hapa mheshimiwa afanye awezavyo atafute watu wenye brain ya kutengeneza ajira hasa manufacturing sector hasa agro processing ambayo ina cut down imports na kuongeza exports za finished goods, then in the course ya kukua huku kutaendana na serikali kukusanya zaidi kodi ili service sector kama elimu, afya na kilimo ambazo zimeajiri watu wengi nao wapata kazi.

Kuna mtu wakati mmoja alikiwa anatafuta audience ya Mkulu kuomba dhamana ya serikali; I know the guy, ili awekeze kwenye industry ambayo kwa mwaka nchi ina import goods worth 600 bil.

Dhamana ya serikali ilikuwa haizidi 15bil na ardhi ambapo zingezalishwa ajira zaidi ya 1,300;
Ilikuwa ngumu mpaka jamaa alikata tamaa maana sio rahisi ku-break red tapes.
TIB wana hela na kila mwaka zinabaki nao wanashangaa tu baada ya kuombwa either mkopo based on investment project proposals au dhamana ya mkopo ili wao wawe administrator wa investment funds.

JPM kama anaweza kuwa na back door channel ya namna ya watu kumfikia au kutengeneza team ya innovators; nchi hii izalishe ajira.

Sio kila mtu anaweza kujiajiri na huwezi kujenga sustainable economy kwa ajira za mtu mmoja mmoja,lazima kujenga sustainable working system za kuzalisha kazi.

Watanzania wenye akili tupo; we just need govt backup hasa kwenye uwekezaji.
Unaongea kama mbuzi aliyetoka shimoni.
 
Shillingi laki mbili ni mtaji unaotosha kufanya nini kichwa nazi ?
Of course Kuna issue ya marketing ya coz unayosoma, afu pia Kuna kujiongeza coz bila kuajiriwa napo lazima maisha yaende mbele, Kuna fact Kama mtaj, mtu anamilik sm ya 200k+ afu unalalamika mtaj elm inakuw imekudumaza akili
 
Back
Top Bottom