msovero
JF-Expert Member
- Jun 30, 2019
- 839
- 1,472
Una chuki za kishamba sana mkuu, kwani vijana wakiumia wewe unapata faida gani?Vijawa wavaa visuruali vya kubana Endeleeni kumenyeka hahahaha Hadi akili ziwakae sawa.
Una chuki za kishamba sana mkuu, kwani vijana wakiumia wewe unapata faida gani?Vijawa wavaa visuruali vya kubana Endeleeni kumenyeka hahahaha Hadi akili ziwakae sawa.
Serikali haiwezi kupunguza idadi ya Ufahili katika kada ya ualimu, kwasababu bado walimu hawatoshi nchini, kilichopo ni serikali kutokuwa na msuli wa kutosha wa kuajili, pia na upungufu wa sector binafsi. Kutokana na uchumi kubana.Tuvilaumu vyuo vyetu kwa kuzalisha matatizo. Vyuo vinajua kabisa kuwa baada ya nchi kuingia kwenye SAP serikali ilijitoa kuwa mwajiri mkuu. Wao badala ya kudahili wanafunzi kwenye program zisizolazimisha ajira serikalini kila siku wanaongeza udahili kwenye kozi hizo hizo. Vyuo vikuu vilazimishwe kubuni program zinazofaa kwa vijana wetu kulingana na mahitaji ya sasa. Program za ualimu zipunguziwe wanafunzi.
Asante , member muongo!Ninataka kuwaambia vijana wenzangu ambao kwakias flani mumeshupaza shingo zenu mkisubir ajira chini ya jemedar stone. Hakika umasikin wa kutupwa unawasubiri. Mm ni mhanga wa hizo ajira tangu 2015 ila nilipomaliza nilikaa miez 3 maskan nikaaga nilianza kupanga mtaan chumba ya elfu 20, mkoan nikasugua mwaka nikaona huu utani nikakata tiket nikajitosa Dar jiji linampokea yyote yule nikachukua vyet nikaweka chini ya uvungu nimehangaika sana ila mpaka ninaandika hapa mm ninasikia mtaan wakisema mshua kapita nipo kwangu nyumba yangu kiwanja kubwa square mita 1100 maenea ka bunju sasa ninajua shida ipo ila sahau kuhusu ajira utanishukuru baadae. Wasalamu.
Umri?Msiombe watazifuta wakiona hazilipi
Akaishi wapi mkuu, atafikia wapi, Kodi ataliapaje, kula je? Madawa nk...mkuu yataka moyo Sana
Basi mpe mbinu aanzaje
Una point ya muhimu sana bro.Tuvilaumu vyuo vyetu kwa kuzalisha matatizo. Vyuo vinajua kabisa kuwa baada ya nchi kuingia kwenye SAP serikali ilijitoa kuwa mwajiri mkuu. Wao badala ya kudahili wanafunzi kwenye program zisizolazimisha ajira serikalini kila siku wanaongeza udahili kwenye kozi hizo hizo. Vyuo vikuu vilazimishwe kubuni program zinazofaa kwa vijana wetu kulingana na mahitaji ya sasa. Program za ualimu zipunguziwe wanafunzi.
Asante , member muongo!
Na iwe ivo.
Nipe Siri mkuu, maana nimefanya michongo mingi imefeli, napata hela ya kusurvive tu! Dah! Nikiri tu nlisoma ili niajiriwe niweze kujiajiri, Mana mtaji pia ni vigumu Sana kupata
Kwa madudu yaliyo ibuliwa sina hamu tena na database bora kuomba upya mkuuMm nahis kutwambia kuna awamu imebak ya ajira 5k n gia ya kututuliza baada ya watu kugundua maovyo ovyo kwenye zile wanazosema ni awamu ya kwanza. Mkuu trust me hizo 5000 tutaambiwa tuombe tena mwakani miez ya 5/6/7. Na watafanya hivo ili waseme tulikuwa tunalekebisha mfumo wetu wa ajira ambazo et ni za kuchaguliwa automatic not manual 🤭🤭🤭, hi cell call ni hatari mkuu.
Hao ni wachache kati ya wengi wanaofurahia hizi shida tunazopitia! Kuna mwingine hadi alidiriki kunitamkia kwamba Magufuri asiendelee kuwaajiri hivo hivo ili tulingane maana mlijifanya kuipenda sana shule sasa mtaa umewapenda zaidi!Kuna watu wanaongea kirahisi humu nadhani hawajui wanachokipitia vijana wenzao.