Rais Magufuli, tunahitaji maamuzi magumu TAZARA

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,803
13,034
Reli ya TAZARA ilitazamiwa kuwa mkombozi wa usafiri abiria na mizigo nyanda za juu kusini.

Utendaji wa TAZARA umekuwa wa kusuasua kwa muda mrefu sana sasa.
Usafiri wa treni hii ni on andboff kwa sababu mbali mbali za kiutendaji.
Mto wa Morogoro utuamshe kwenyebusingizi wa pono.

Naomba Mh John Pombe Magufuli atoe tamko tu, mizigo yote iendayo Malawi, Zambia,Congo na nyanda za Juu Kusini, wenyewe waichukue mizigo hiyo Depot za TAZARA aidha Makambako au Mbeya.

Kitendo hiki si tu kitaokoa barabara zetu na uharibifu bali hata kupunguza kabisa ajali kama ile iliyoua watu karibia 75 Morogoro.
Mh Magufuli, maamuzi magumu tafadhali.
 
Wewe unadhani haya uliyayaandika hapa na Kuyaona Yeye hayajui au labda Wasaidizi wake Wakuu wa Jengo Tai / Kitengo hawajamwambia? Ukiona amekaa nalo Kimya Kwanza jua amegundua kuwa kuna makubwa hapo juu ya huo Udhaifu ambao umeusema hivyo anataka kwenda nalo taratibu ili lisije likaharibu zaidi badala ya Kujenga kama si Kuboresha pia. Jicho la Rais kama Taasisi ni Kubwa mno Mkuu na hakuna ambacho ama haambiwi au hakijui. Sana sana hili Bandiko lako litachochea tu Wasaidizi wake ( hao niliowataja hapo ) wamkumbushe na hatua za Kiumakini ambazo hazitoathiri Ustawi wa Wafanyakazi wengi wa Kitanzania waliopo hapo zichukuliwe.
 
Hii hoja naunga mkono mia kwa mia.. Magufuli tafadhali mizigo yote ya inayoelekea Nyanda za juu Kusini kutokea bandari ya Dsm, iende kwa reli, TAZARA, na inayotoka kusini kama Zambia, Malawi, na Congo mwisho wa lorries Mbeya, then TAZARA wailete bandarini Dsm. Mbeya sasa iwe kitovu cha usafiri wa mizigo Kusini mwa Africa..JPM unaweza baba...
 
Wewe unadhani haya uliyayaandika hapa na Kuyaona Yeye hayajui au labda Wasaidizi wake Wakuu wa Jengo Tai / Kitengo hawajamwambia? Ukiona amekaa nalo Kimya Kwanza jua amegundua kuwa kuna makubwa hapo juu ya huo Udhaifu ambao umeusema hivyo anataka kwenda nalo taratibu ili lisije likaharibu zaidi badala ya Kujenga kama si Kuboresha pia. Jicho la Rais kama Taasisi ni Kubwa mno Mkuu na hakuna ambacho ama haambiwi au hakijui. Sana sana hili Bandiko lako litachochea tu Wasaidizi wake ( hao niliowataja hapo ) wamkumbushe na hatua za Kiumakini ambazo hazitoathiri Ustawi wa Wafanyakazi wengi wa Kitanzania waliopo hapo zichukuliwe.
Kuwa raisi sio kujua kila kitu mkuu.!anajua vingi ambavyo ni vya muhimu.
Kuna mengi tu watu hutoa mawazo yao humu na yanafanyiwa kazi mfano lile la Road license.
 
Wewe unadhani haya uliyayaandika hapa na Kuyaona Yeye hayajui au labda Wasaidizi wake Wakuu wa Jengo Tai / Kitengo hawajamwambia? Ukiona amekaa nalo Kimya Kwanza jua amegundua kuwa kuna makubwa hapo juu ya huo Udhaifu ambao umeusema hivyo anataka kwenda nalo taratibu ili lisije likaharibu zaidi badala ya Kujenga kama si Kuboresha pia. Jicho la Rais kama Taasisi ni Kubwa mno Mkuu na hakuna ambacho ama haambiwi au hakijui. Sana sana hili Bandiko lako litachochea tu Wasaidizi wake ( hao niliowataja hapo ) wamkumbushe na hatua za Kiumakini ambazo hazitoathiri Ustawi wa Wafanyakazi wengi wa Kitanzania waliopo hapo zichukuliwe.m
Mkuu watu wanaendelea kufa kwa ajali za malori na TAZARA ipo tu inakula hasara.
 
Mnataka kodi za mizani, kodi za mafuta, ajira za madereva, ziwe replaced vipi?

Kimsingi unapokuwa nchi masikini wakati mwingine unalazimika kupita njia ndefu japo fupi unaiona

Kimsingi naunga mkono hoja ya Mleta mada lakini as a nation wakati mwingine unajikuta unaweza kuinstall robot ifanye kazi na kuleta ufanisi zaidi mahali lakini ukipiga mahesabu ajira za raia zitakazopotea unaona bora uendelee na nguvu kazi ya watu

Au kama policymaker unaweza kuona kabisa ukilileta bepari moja lilime kwa matrekta hekali na hekali unaweza kusolve kabisa tatizo la njaa, lakini at the same time unaona ukifanya hivyo wakulima wadogowadogo umewamaliza

Mfano huohuo ni mfano wa reli vs malori
 
Reli ya TAZARA ilitazamiwa kuwa mkombozi wa usafiri abiria na mizigo nyanda za juu kusini.

Utendaji wa TAZARA umekuwa wa kusuasua kwa muda mrefu sana sasa.
Usafiri wa treni hii ni on andboff kwa sababu mbali mbali za kiutendaji.
Mto wa Morogoro utuamshe kwenyebusingizi wa pono.

Naomba Mh John Pombe Magufuli atoe tamko tu, mizigo yote iendayo Malawi, Zambia,Congo na nyanda za Juu Kusini, wenyewe waichukue mizigo hiyo Depot za TAZARA aidha Makambako au Mbeya.

Kitendo hiki si tu kitaokoa barabara zetu na uharibifu bali hata kupunguza kabisa ajali kama ile iliyoua watu karibia 75 Morogoro.
Mh Magufuli, maamuzi magumu tafadhali.
Sasa wewe unataka madreva wetu wafe njaa?
 
Wazo zuri sana, ningependa Tazara wapewe bidhaa za mafuta eg. Petrol, diseri na vilipuZi kama baruti.

Aina hii ya mizingo in hatari kupita katika Barbara zetu zenye misongano na ajali nyingi.

In vema miundo mbinu ya Tazara na utendaji wake uboreshwe ili kuondoa ukilitimba uliyopo iwapo watapewa hii monopoly.
 
Reli ya TAZARA ilitazamiwa kuwa mkombozi wa usafiri abiria na mizigo nyanda za juu kusini.

Utendaji wa TAZARA umekuwa wa kusuasua kwa muda mrefu sana sasa.
Usafiri wa treni hii ni on andboff kwa sababu mbali mbali za kiutendaji.
Mto wa Morogoro utuamshe kwenyebusingizi wa pono.

Naomba Mh John Pombe Magufuli atoe tamko tu, mizigo yote iendayo Malawi, Zambia,Congo na nyanda za Juu Kusini, wenyewe waichukue mizigo hiyo Depot za TAZARA aidha Makambako au Mbeya.

Kitendo hiki si tu kitaokoa barabara zetu na uharibifu bali hata kupunguza kabisa ajali kama ile iliyoua watu karibia 75 Morogoro.
Mh Magufuli, maamuzi magumu tafadhali.
Kweli ww unafanana na jina lako kwa hiyo unataka malori yetu tuyaingize kwenye mwendokasi au madereva waje kula nyumbani kwako na familia zao, Acha Kiki za kijinga ww huko US na EU Lori bado linategemewa itakuwa huku kwetu shithole countries
 
Fikirieni wenye malori, vituo vya mafuta, mama lishe ,dada poa nk wanaonufaika na hiyo chain njia ya kusini. Katika uchumi huria mambo ya zuia kataza hayatakiwi, Tazara wajipange kivyao wateja wataamua.
 
Reli ya TAZARA ilitazamiwa kuwa mkombozi wa usafiri abiria na mizigo nyanda za juu kusini.

Utendaji wa TAZARA umekuwa wa kusuasua kwa muda mrefu sana sasa.
Usafiri wa treni hii ni on andboff kwa sababu mbali mbali za kiutendaji.
Mto wa Morogoro utuamshe kwenyebusingizi wa pono.

Naomba Mh John Pombe Magufuli atoe tamko tu, mizigo yote iendayo Malawi, Zambia,Congo na nyanda za Juu Kusini, wenyewe waichukue mizigo hiyo Depot za TAZARA aidha Makambako au Mbeya.

Kitendo hiki si tu kitaokoa barabara zetu na uharibifu bali hata kupunguza kabisa ajali kama ile iliyoua watu karibia 75 Morogoro.
Mh Magufuli, maamuzi magumu tafadhali.
Muundo was TZR umekaa kisiasa mno. General Manager lazima awe Mzambia. Walifanya hivyo ili ku balance kwamba HQ ipo Tanzania.
Bila kuufumua muundo huo, tutaendelea kusikia ngonjera nyingi.
 
Tatizo la Tazara sio uchache wa miziigo. Wana mizigo mingi kuliko uwezo wao.

Wanahitaji investment kubwa kuweza kuwa na uwezo huo. Hivyo muhimu ni serikali itoe mapesa pia.
Kule Zambia mpaka kuna mizigo wanaikataa.
Reli ya TAZARA ilitazamiwa kuwa mkombozi wa usafiri abiria na mizigo nyanda za juu kusini.

Utendaji wa TAZARA umekuwa wa kusuasua kwa muda mrefu sana sasa.
Usafiri wa treni hii ni on andboff kwa sababu mbali mbali za kiutendaji.
Mto wa Morogoro utuamshe kwenyebusingizi wa pono.

Naomba Mh John Pombe Magufuli atoe tamko tu, mizigo yote iendayo Malawi, Zambia,Congo na nyanda za Juu Kusini, wenyewe waichukue mizigo hiyo Depot za TAZARA aidha Makambako au Mbeya.

Kitendo hiki si tu kitaokoa barabara zetu na uharibifu bali hata kupunguza kabisa ajali kama ile iliyoua watu karibia 75 Morogoro.
Mh Magufuli, maamuzi magumu tafadhali.
 
TAZARA ITANDIKWE STANDARD GAUGE, TUCHAGUE MAWILI EITHER KUKAMULIWA KATIKA KODI AMA TUKAKOPE CHINA.
 
Mkuu hao wenye malori ndio wanaofanya sabotage ili treni iwe ya kubebea ng'ombe tu,hivi nchi inaweza kuendelea kwa kuipa kisogo reli?
Nalog off
 
Reli ya TAZARA ilitazamiwa kuwa mkombozi wa usafiri abiria na mizigo nyanda za juu kusini.

Utendaji wa TAZARA umekuwa wa kusuasua kwa muda mrefu sana sasa.
Usafiri wa treni hii ni on andboff kwa sababu mbali mbali za kiutendaji.
Mto wa Morogoro utuamshe kwenyebusingizi wa pono.

Naomba Mh John Pombe Magufuli atoe tamko tu, mizigo yote iendayo Malawi, Zambia,Congo na nyanda za Juu Kusini, wenyewe waichukue mizigo hiyo Depot za TAZARA aidha Makambako au Mbeya.

Kitendo hiki si tu kitaokoa barabara zetu na uharibifu bali hata kupunguza kabisa ajali kama ile iliyoua watu karibia 75 Morogoro.
Mh Magufuli, maamuzi magumu tafadhali.
Umeongea vizuri ila Tazara haina mabehewa ya kutosha kubeba mzigo mkubwa hivyo utasababisha mizigo ya watu kuchelewa zaidi ya miezi 6.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom