Jinga tu wewe! Tulisikia watu walivyotumbuliwa kwa kufungua akaunti bandia wewe unasema alikula, kula kitu gani.Amekula ndio kwani uwongo. Kaiba tena bila aibu na matrilion ni mlafi. Kumbuka hela ya rambirambi ilizidi Bilion 20. Zingine zimeenda wapi? Hulka yake ni wizi toka 1995
Mi natamani sana ujenzi wa aina hii kila wilaya kabla hajaondoka madarakani, maana bila usimamizi imara hawa ma-injinia fisi tulionao, watajenga upuuzi tu!