Rais Magufuli, Tumeiona Ihungo mpya. Jengeni Ihungo nyingine kila mkoa

Amekula ndio kwani uwongo. Kaiba tena bila aibu na matrilion ni mlafi. Kumbuka hela ya rambirambi ilizidi Bilion 20. Zingine zimeenda wapi? Hulka yake ni wizi toka 1995
Jinga tu wewe! Tulisikia watu walivyotumbuliwa kwa kufungua akaunti bandia wewe unasema alikula, kula kitu gani.
Mi natamani sana ujenzi wa aina hii kila wilaya kabla hajaondoka madarakani, maana bila usimamizi imara hawa ma-injinia fisi tulionao, watajenga upuuzi tu!
 
Mh. Rais, Asante kwa ukarabati wa shule ya sekondari Ihungo.

Kiuhalisia huo ni ujenzi mpya. Kwa umuhimu wa elimu na kiasi kikubwa cha wanafunzi ktk sekondari zetu, Nikuombe utumie nguvu yako kujenga shule zingine za aina hii ktk kila mkoa.

Gharama ya Bilioni 10.5. Ukitenga Bilioni 400, zitatuweka kwenye ramani mpya ya shule za sekondari. Bilioni 400 ni kiasi sawa na kile cha Escrow. Kwa makusanyo ya Trilioni 2, hiyo ni sehemu ndogo sana lakini yenye kishindo kikubwa ktk elimu.

Hii itatusaidia kuachana na na tabia ya kukimbilia shule za binafsi kwa ushindi wa division bila kitu vichwani.
Pesa tu
 
Back
Top Bottom