Ni wazi kwamba tangu mh.Rais wetu aingie madarakani amekua na upendo usiorezeka kwa nchi yetu ikiwa ni pamoja na kutokusafiri kwenda kutalii nje badala yake amekua akiwatembelea wananchi wake na kuwatatulia kero mbali mbali zilizoko ndani ya uwezo wake zinazowakabili wananchi.
Lakini pamoja na hayo sisi mikoa ya nyanda za juu kusini ikiwa ni pamoja na katavi tunaona kama mh.rais umetusahau kidogo.
Mh.rais tunakuomba utukumbuke na sisi pale utakapokua unapanga ziara zako mikoani na sisi utukumbuke,wananchi wa mikooa hii tunakero mbali mbali ambazo zinahitaji busara zako mh.rais kuzitatua.
Wananchi wa mikoa hii miwili tumekua wanyonge sana tunapoona mikoa mingine yatembelewa hiyo inatufanya kua na maswali mengi vichwani mwetu.
Hivyo basi na sisi mh.tunaomba utukumbuke tuna mengi ya kukueleza pale tutakapo pata nafasi ya kuongea na wewe mheshimiwa.
Lakini pamoja na hayo sisi mikoa ya nyanda za juu kusini ikiwa ni pamoja na katavi tunaona kama mh.rais umetusahau kidogo.
Mh.rais tunakuomba utukumbuke na sisi pale utakapokua unapanga ziara zako mikoani na sisi utukumbuke,wananchi wa mikooa hii tunakero mbali mbali ambazo zinahitaji busara zako mh.rais kuzitatua.
Wananchi wa mikoa hii miwili tumekua wanyonge sana tunapoona mikoa mingine yatembelewa hiyo inatufanya kua na maswali mengi vichwani mwetu.
Hivyo basi na sisi mh.tunaomba utukumbuke tuna mengi ya kukueleza pale tutakapo pata nafasi ya kuongea na wewe mheshimiwa.