SONGOKA
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 1,843
- 1,841
Hivi hawa TASAF nani aliwambia kugawa pesa eti kwa kaya maskini ndo njia ya kuwaondolea umaskini. Hizi sh 20,000, 50,000, mnazogawa tena mara moja kwa miezi kadhaa zitaondoaje umaskini?
Vikao vyenyewe vya migao vimejaa fujo, majungu na ugomvi, mifano ni Mwanza na Arusha,
Mkurugenzi wa TASAF ameshindwa kubuni mbinu mpya za kusaidia kaya maskini Zaidi ya kuwapa hivyo visenti au ni mpango mnaoutumia kupiga pesa . Tunawajua sana mchezo wenu wa kugawa kwa kaya kadhaa alafu vitabu vyenu vinaonyesha mara mia ya idadi halisi.
Magufuli watu waliokosa ubunifu kama huyu mkurugenzi wa TASAF ni wa kutimuliwa since YESTERDAY.
Vikao vyenyewe vya migao vimejaa fujo, majungu na ugomvi, mifano ni Mwanza na Arusha,
Mkurugenzi wa TASAF ameshindwa kubuni mbinu mpya za kusaidia kaya maskini Zaidi ya kuwapa hivyo visenti au ni mpango mnaoutumia kupiga pesa . Tunawajua sana mchezo wenu wa kugawa kwa kaya kadhaa alafu vitabu vyenu vinaonyesha mara mia ya idadi halisi.
Magufuli watu waliokosa ubunifu kama huyu mkurugenzi wa TASAF ni wa kutimuliwa since YESTERDAY.