Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,921
- 31,155
Mheshimiwa Rais Dr John Pombe Magufuli wakati wa kipindi cha kampeni ulitoa ahadi ya kumpatia kazi kijana wetu mpendwa Joshua Nassari.
Muda unakwenda kasi sana tangu kampeni zimalizike na wewe kuibuka na ushindi wa kishindo.Kijana wetu wetu ana mtoto ambae anahitaji matunzo ya kiwango cha nafasi za juu za kiserekali kama Regional Commissioner au High Commissioner au Mkuu wa shirika lolote zuri la umma kama NSSF, PSPF, TANAPA, NCAA, CRDB, KADCO, TANESCO, TANROAD, UWASSA,TBC, na NK.
Kijana wetu Nassari alishiriki kikamilifu kampeni hadi ukapata ushindi wa kishindo,hata kama yule jamaa wa ubelgiji anasema kulikuwa na kosoro nyingi lakini wewe sasa ni Rais wa JMT.Kwa nafasi yako una nafasi kibao kuanzia serekali kuu,serekali za mitaa,mawizara kibao,nafasi za ubunge 10 jimbo la Ikulu.Najua una shughuli nyingi kiasi unaweza kusahau ebu tupia jicho kama ikishindikana basi mpatie nafasi ya RAS kijana asiteseke na kusahaulika.
Wasalamu Ngongo safarini Chato National Park.
Muda unakwenda kasi sana tangu kampeni zimalizike na wewe kuibuka na ushindi wa kishindo.Kijana wetu wetu ana mtoto ambae anahitaji matunzo ya kiwango cha nafasi za juu za kiserekali kama Regional Commissioner au High Commissioner au Mkuu wa shirika lolote zuri la umma kama NSSF, PSPF, TANAPA, NCAA, CRDB, KADCO, TANESCO, TANROAD, UWASSA,TBC, na NK.
Kijana wetu Nassari alishiriki kikamilifu kampeni hadi ukapata ushindi wa kishindo,hata kama yule jamaa wa ubelgiji anasema kulikuwa na kosoro nyingi lakini wewe sasa ni Rais wa JMT.Kwa nafasi yako una nafasi kibao kuanzia serekali kuu,serekali za mitaa,mawizara kibao,nafasi za ubunge 10 jimbo la Ikulu.Najua una shughuli nyingi kiasi unaweza kusahau ebu tupia jicho kama ikishindikana basi mpatie nafasi ya RAS kijana asiteseke na kusahaulika.
Wasalamu Ngongo safarini Chato National Park.