Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,224
- 6,467
Habari zenu familia ya JF. Mi sio mnafiki wala sina undugu na wala ukabila na Agrey Mwanry. Wote mtakubali hii ni nyota iliyozimwa na Mafuriko ya UKAWA.
Sahivi ni RC Tabora na anafanya mambo mazuri tu ikiwa ni pamoja na mkoa wake kuvuka lengo ktk kutengeneza Madawati kwa shule za Msingi.
Pia alipokuwa Naibu waziri TAMISEMI alikuwa akifanya kazi vizuri sana kuliko hata waziri Kasim Majaliwa aliyekuwa juu yake.
Hivyo kwa heshima na taadhima namshauri Rais kama atapita humu, atengue uteuzi wa Mbunge mwanaume na kumpa Mwanry nafasi hiyo ili baada ya hapo ateuliwe Waziri wa Nishati na Madini.
Nafasi ya RC Tabora apewe mtu mwingine na Mbunge aliyetenguliwa uteuzi wake apewe pia kazi nyingine.
Agery Mwanry alikuwa Mbunge wa Siha- Kilimanjaro kabla ya kusombwa na mafuriko ya UKAWA mwaka 2015.
Naomba ushauri wangu ufanyiwe kazi. Naomba kuwasilisha.
Sahivi ni RC Tabora na anafanya mambo mazuri tu ikiwa ni pamoja na mkoa wake kuvuka lengo ktk kutengeneza Madawati kwa shule za Msingi.
Pia alipokuwa Naibu waziri TAMISEMI alikuwa akifanya kazi vizuri sana kuliko hata waziri Kasim Majaliwa aliyekuwa juu yake.
Hivyo kwa heshima na taadhima namshauri Rais kama atapita humu, atengue uteuzi wa Mbunge mwanaume na kumpa Mwanry nafasi hiyo ili baada ya hapo ateuliwe Waziri wa Nishati na Madini.
Nafasi ya RC Tabora apewe mtu mwingine na Mbunge aliyetenguliwa uteuzi wake apewe pia kazi nyingine.
Agery Mwanry alikuwa Mbunge wa Siha- Kilimanjaro kabla ya kusombwa na mafuriko ya UKAWA mwaka 2015.
Naomba ushauri wangu ufanyiwe kazi. Naomba kuwasilisha.