Rais Magufuli, tengua agizo hili la Waziri wa Mambo ya Ndani

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,888
143,985
Rais Maguguli kama kweli Waziri Mwigulu ametoa agizo la kuwataka polisi kuyaachia magari yaliyokamatwa kwa kutolipa Road license kama ilivyoripotiwa hapa JamiiForums, kwa kuheshimu utawala wa sheria na Mamlaka ya Bunge, nakushauri ulifute agizo hili la waziri Mwigulu kwani si halali kisheria kama kweli kaagizo hivyo.

Habari hiyo hapa JamiiForums inapatikana kupitia hii link hapa chini:

Kabla Bunge halijapitisha, Mwigulu aamuru polisi kuachia magari iliyoshikilia

Wabunge pia mnatakiwa kutafuta ukweli wa jambo hili na kisha mlijadili Bungeni.

Ningekuwa mimi ndio Rais, na hii habari nikathibitisha kuwa ni ya kweli, ningemvua uwaziri mara moja.
 
Raisi Maguguli kama kweli Waziri Mwigulu ametoa agizo la kuwataka polisi kuyaachia magari yaliyokamatwa kwa kutolipa Road license kama ilivyoripotiwa hapa JamiiForums,kwa kuheshimu utawala wa sheria na Mamlaka ya Bunge, nakushauri ulifute agizo hili la waziri Mwigulu kwani si halali kisheria kama kweli kaagizo hivyo.

Habari hiyo hapa JamiiForums inapatikana kupitia hii link hapa chini:

Kabla Bunge halijapitisha, Mwigulu aamuru polisi kuachia magari iliyoshikilia

Wabunge pia mnatakiwa kutafuta ukweli wa jambo hili na kisha mlijadili Bungeni.

Ningekuwa mimi ndio Raisi, na hii habari nikathibitisha kuwa ni ya kweli,ningemvua uwaziri mara moja.
Mheshimiwa rais huwa hana fikra za kijinga kama hizi. Dont dare him.! Mnadhani ni rais wa matamko ya watu wa hovyohovyo wasiokuwa na mawazo chanya
 
Mheshimiwa rais huwa hana fikra za kijinga kama hizi. Dont dare him.! Mnadhani ni rais wa matamko ya watu wa hovyohovyo wasiokuwa na mawazo chanya
Bajeti hazijatekelezwa alafu wewe unateta maamuzi ya aina hii ambayo yanayoikosesha serikali mapato?!

Hivi huu ndio uzalendo wenu?!
 
makinikia-jpg.521974
 
Raisi na Bunge hawawezi kufanyia kazi hoja dhaifu kama yako. Kuna mambo ya msingi sana ya kufanya baada ya ripoti ya Jumatatu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom