Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Kama miongoni mwa watanzania siwezi kukubaliana na huyu rais mkurupukaji mwenye nongwa,kauli mbaya na masimango dhidi ya wananchi na watumishi.
Magufuli umeropoka kwamba huongezi mishahara kwa watumishi wa Umma hadi pale uzalishaji utakapoongezeka. Hapo ujue unakaribisha rushwa na wananchi wako ambao wanategemea Huduma za watumishi wa umma wanazidi kuteseka.
Unajipambanua kwamba umechaguliwa na wanyonge ili uwatumikie je hao watumishi wa Umma sio wanyonge? Kumbuka hawa unaowadharau na kuwakejeli ndo waliokupa kura.
Magufuli wewe umezuia ajira kwa vijana,hutaki kupandisha mishahara kwa watumishi wa Umma. Kuzuia kwako ajira kwa vijana au kutoa ajira nusu nusu hiyo sio tija tambua Hawa vijana unaowasakama Leo ndio viongozi wa kesho.
Wewe mwenyewe unasema daily eti ulisukumizwa kuwa rais kwa hiyo ndo umeamua kutesa wananchi kisa kusukumizwa kwako? Kiukweli unaboa na kutuchefua watanzania wengi mno hasa vijana na wale wanaCCM Wenzako wanaojielewa.
Umefungua mahakama ya mafisadi hadi Leo hujapata watuhumiwa kwa sababu unajijua wee mwenyewe fisadi umeuza nyumba za serikali kwa bei chee,umesababisha madeni lukuki kwa nchi mfano nzuri ndege ya bombardier iliyoshikiliwa Canada ,jiulize kama alikopa JK kwa nini haikung'ang'aniwa kipindi chake !!? Hii ni kuonesha wewe pombe una matatizo jitafakari
Sitaki kuongea mengi ila sikupendi na unanichefua sana kwenye huu utawala wako,kuna mengi yamenikuta ndani ya utawala wako.
NB: Mimi sio mtuhumiwa wa vyeti feki wale 12 elfu
Magufuli umeropoka kwamba huongezi mishahara kwa watumishi wa Umma hadi pale uzalishaji utakapoongezeka. Hapo ujue unakaribisha rushwa na wananchi wako ambao wanategemea Huduma za watumishi wa umma wanazidi kuteseka.
Unajipambanua kwamba umechaguliwa na wanyonge ili uwatumikie je hao watumishi wa Umma sio wanyonge? Kumbuka hawa unaowadharau na kuwakejeli ndo waliokupa kura.
Magufuli wewe umezuia ajira kwa vijana,hutaki kupandisha mishahara kwa watumishi wa Umma. Kuzuia kwako ajira kwa vijana au kutoa ajira nusu nusu hiyo sio tija tambua Hawa vijana unaowasakama Leo ndio viongozi wa kesho.
Wewe mwenyewe unasema daily eti ulisukumizwa kuwa rais kwa hiyo ndo umeamua kutesa wananchi kisa kusukumizwa kwako? Kiukweli unaboa na kutuchefua watanzania wengi mno hasa vijana na wale wanaCCM Wenzako wanaojielewa.
Umefungua mahakama ya mafisadi hadi Leo hujapata watuhumiwa kwa sababu unajijua wee mwenyewe fisadi umeuza nyumba za serikali kwa bei chee,umesababisha madeni lukuki kwa nchi mfano nzuri ndege ya bombardier iliyoshikiliwa Canada ,jiulize kama alikopa JK kwa nini haikung'ang'aniwa kipindi chake !!? Hii ni kuonesha wewe pombe una matatizo jitafakari
Sitaki kuongea mengi ila sikupendi na unanichefua sana kwenye huu utawala wako,kuna mengi yamenikuta ndani ya utawala wako.
NB: Mimi sio mtuhumiwa wa vyeti feki wale 12 elfu