Jpm amuombe radhi Sugu kwa kumfananisha na hilo chama. Ni sawa na mtu mwenye heshima zake umlinganishe na wachawi
Sasa si tumekubaliana kwamba maendeleo hayana chama ccm cha nn sasa?
Mbona lema hakususa kumsalimia msiban kwa kina msigwaSugu kajifungisha makusudi na kiki ikabuma
Vipi mtamuita sugu kwenye kamati kuu kwa kitendo chake cha kutosusa ziara ya Rais?
Hizi nguo za hawa walinzi ni za jeshi gani hasa!
Wewe ni mwehuSugu kajifungisha makusudi na kiki ikabuma
Vipi mtamuita sugu kwenye kamati kuu kwa kitendo chake cha kutosusa ziara ya Rais?
Kwani urais ni taaluma?!Hii ni ziara ya kiserikali au chama? Kama niya kiserikali basi my president is too unprofessional
Sugu leo: Nakupenda Magufuli nakuunga mkono kwa 100%m
Mimi nilitaka nikuamini kuwa katika takataka za Lumumba wewe uko reasonable and fact finding man, kumbe bure! Sasa hapo kuna safi sana ipi? Unafiki mtupu hapo? Unadhani sugu ni juha? Hajitambui? Sugu hajasahau kuwa kuwekwa kwake ndani ni amri ya huyu huyu mtu! Huyu ni Nyoka si wa kumwamini!
Wanaoumia ni chadema , ha haha , chezea Magufuli wewe!Anazuga tu moyon anaumia jamaa anavyokubalika
Ala kumbe chadema wanawalipa washangiliajiWamelipwa hao washa. Ngiliaji
Chadema ndio ina moyo mzuri ? Kasema nani kha!Magufuli usiwaaminishe watu kuwa Moyo wa CCM Ni moyo mzuri, WEWE MWENYEWE UNAUFAHAMU UKWELI. CCM sio kamwe haiwezi kuwa Reference ya Moyo Mzuri, KAMWE!
Pole mkuu maana sijui Kama unajua kuwa hujuiKwani urais ni taaluma?!
Hahahaa......... Nakupenda Magufuli na nakuunga mkono kwa 100% by Sugu!Pole mkuu maana sijui Kama unajua kuwa hujui
Siasa ya vyama vingi tulizikubali wakati akili zetu bado changa,ndo maana Kama taifa tunashughulika na petty issue Kama hizi.sasa sijui wewe ulitarajia aseme vipi na je ni issue gani ilikuwa inaongelewa hapo?Hahahaa......... Nakupenda Magufuli na nakuunga mkono kwa 100% by Sugu!
Mile kibibi hats aibu hakinaSugu ndo mbunge Wa Mbeya kwa sasa hakuna mwingine. naomba rais apokee kero za eneo husika toka kwa wawakilishi Wa maeneo husika na sio wavizia majimbo kama kina tulia na genge lao..
Tunaongelea" green city" acha kuchanganya namba.Hai waliovaa maguo ya kijani. CHADEMA tuliwekwa nyuma kabisa. Watch out the videos careful