Rais Magufuli: Sitatenga hela ya Katiba Mpya ili watu waende Bungeni kula; wala sikuinadi kwenye kampeni

Huyu dogo aliposhindwa uchaguzi alitua mzigo mkubwa sana,sasa hivi hana hofu tena ya kukatwa mil 1 kila mwezi kwenda kwenye maendeleo Hai
 
Kweli kabisa. Ni kweli tumechoka kuona uvunjifu wa katiba na vitendo anavyo vifanya.
Inshaallah watapatikana viongozi bora, wenye maona chanya ya kuwezesha kupatikana kwa katiba maridhawa kwa nchi yetu.
Madesa aliyo fanya,anayo fanya na atayofanya yanatupa maumivu makali mno. Asitutese kwa hili pia. Bora kuumia miaka hii michache kuliko kuumia umri wetu mpka wa wajukuu zetu
 
Kwako Rais wetu mpendwa, tunajua kazi unayoifanya na malengo yako makubwa katika kuendeleza nchi yetu, pamoja na jitahada zote unazozifanya nipende kukuambia tu unakata matawi ukiondoka yataota tena na hali itarudi palepale, nikuombe tu kabla hujaondoka tuachie katiba ya Warioba ili tuwajibishane sisi wenyewe na hii itasaidia kuongeza ukweli , uwazi na uwajibikaji, Aksante.
 
Inanipa wasi wasi mkuubwa na mwenendo chama tawala wa kila ajae ankuwa na sera yake binafsi na kuanzisha prgram mpya na kuziacha zile za mwenzake alietangulia.
HI KWELI CCM INA DIRA?
Kama Taifa,eti kila raisi hudai kuwa anatekeleza ilani ya chama ,Inakuwaje chama hiki kila siku kinatowa ilani Inayokinzna na iliyotangulia, HII NDIO DIRA?
Ni mamilioni ya shilling yalipotea kuanzisha mchakatohuu,Hivi Magufuli Ni mwana CCM kweli? na hili la katiba lilikuwemo kwenye ilani ya kikwete, leo yeye anasema katiba si kipa umbele chake Inasomekaje hapa?
Miminawashuku hawa CCM ,huenda wanapinduana ndani kwa ndani,na wanapingana chini kwa chini,hi kweli Taifa hili Litafika safari yake?
MWISHO NAPENDA KUWEKA WAZI NI NANI ANAYESTAHIKI KUSEMA HIVYO SIVYO ENDAPO MKUU ANAKWENDA APENDAVYO?
WASALAM
 
Kwako Rais wetu mpendwa, tunajua kazi unayoifanya na malengo yako makubwa katika kuendeleza nchi yetu, pamoja na jitahada zote unazozifanya nipende kukuambia tu unakata matawi ukiondoka yataota tena na hali itarudi palepale, nikuombe tu kabla hujaondoka tuachie katiba ya Warioba ili tuwajibishane sisi wenyewe na hii itasaidia kuongeza ukweli , uwazi na uwajibikaji, Aksante.
Huo ushauri hataki kuusikia japokuwa hilo lingempatia credentials he wanted so much,but he dont have such guts apart from it being what is needed be done.
 
Inanipa wasi wasi mkuubwa na mwenendo chama tawala wa kila ajae ankuwa na sera yake binafsi na kuanzisha prgram mpya na kuziacha zile za mwenzake alietangulia.
HI KWELI CCM INA DIRA?
Kama Taifa,eti kila raisi hudai kuwa anatekeleza ilani ya chama ,Inakuwaje chama hiki kila siku kinatowa ilani Inayokinzna na iliyotangulia, HII NDIO DIRA?
Ni mamilioni ya shilling yalipotea kuanzisha mchakatohuu,Hivi Magufuli Ni mwana CCM kweli? na hili la katiba lilikuwemo kwenye ilani ya kikwete, leo yeye anasema katiba si kipa umbele chake Inasomekaje hapa?
Miminawashuku hawa CCM ,huenda wanapinduana ndani kwa ndani,na wanapingana chini kwa chini,hi kweli Taifa hili Litafika safari yake?
MWISHO NAPENDA KUWEKA WAZI NI NANI ANAYESTAHIKI KUSEMA HIVYO SIVYO ENDAPO MKUU ANAKWENDA APENDAVYO?
WASALAM
Upo sawa kabisa kupata wasiwasi kwa sababu hatuna dira kama Taifa.Kila anayepata Urais hata akifanya madudu utaambiwa anatekeleza ilani.Reason behind is that party manifesto can easly be maipulated.That is why they can't afford New Constitution.
 
Kwako Rais wetu mpendwa, tunajua kazi unayoifanya na malengo yako makubwa katika kuendeleza nchi yetu, pamoja na jitahada zote unazozifanya nipende kukuambia tu unakata matawi ukiondoka yataota tena na hali itarudi palepale, nikuombe tu kabla hujaondoka tuachie katiba ya Warioba ili tuwajibishane sisi wenyewe na hii itasaidia kuongeza ukweli , uwazi na uwajibikaji, Aksante.
Yani mzee kama ulikua unanisoma akili yangu vile. Baada ya miaka hii minne raisi wetu kukaa madarakani ningetetemea kwamba mpaka sasa angejua chamgamoto kubwa iliofanya taifa letu kupanda na kuwa hapa lilipo.

Tatizo hilo ni uzembe mkubwa wa wafanyakazi wa serikali mpaka ngazi ya chini kabisa, na viongozi wa chini na wa kati ambao hawana uchungu na nchi wala nini.

Yani kama hata wenyewe angekuwa na katiba ile ya warioba mambo alioyafanya sasa hivi ungeweza kuwa amefanya hata mara kumi yake. Watumishi wake wanamuangusha.

Najua Raisi wetu anauchungu na sisi, afikirie pale atakapoondoka yeye, nani atasimama kidete kama yeye.

Kitu cha kutusaidia ni katiba mpya tu!!!! Ile ya warioba.
 
Mjomba taratibu basi, tunaohitaji hio katiba ni sisi wananchi, wewe tumekuweka hapo ulipo ili utekeleze tunachoona kinatufaa wananchi.

Katiba ni kama vazi la mtoto, Tanzania sio mtoto tena kawa mkubwa na zile Nguo za utotoni anazoendelea kuzivaa hazimsitiri wala kutosha, ni muda umefika inabidi mrembo Tanzania ashinewe sketi ndefu aachane na Nguo za utotoni zinazofanya aonekane kavaa kimini
 
Kwako Rais wetu mpendwa, tunajua kazi unayoifanya na malengo yako makubwa katika kuendeleza nchi yetu, pamoja na jitahada zote unazozifanya nipende kukuambia tu unakata matawi ukiondoka yataota tena na hali itarudi palepale, nikuombe tu kabla hujaondoka tuachie katiba ya Warioba ili tuwajibishane sisi wenyewe na hii itasaidia kuongeza ukweli , uwazi na uwajibikaji, Aksante.

Magufuli kweli ni Mtawala asiye na DIRA wala UTASHI wa kuongoza nji hii...!!! Huyu jamaa Ni sawa na mvuta bhang tu. Hivi unasemaje "SITATENGA FEDHA YA KATIBA MPYA" kisa ATI watu wataenda kula pesa ya posho....ebho??
Hivi Magufuli hajui kuwa hiyo Fedha ni KODI ZETU? Yeye Nnani anayepanga bajeti na matumizi ya nchi? BAJETI hupangwa na BUNGE LA BAJETI siyo Rais.
Magifuli lazima afundishwe namna ya kuheshimu UTAWALA WA SHERIA.....!!!
 
Magufuli kweli ni Mtawala asiye na DIRA wala UTASHI wa kuongoza nji hii...!!! Huyu jamaa Ni sawa na mvuta bhang tu. Hivi unasemaje "SITATENGA FEDHA YA KATIBA MPYA" kisa ATI watu wataenda kula pesa ya posho....ebho??
Hivi Magufuli hajui kuwa hiyo Fedha ni KODI ZETU? Yeye Nnani anayepanga bajeti na matumizi ya nchi? BAJETI hupangwa na BUNGE LA BAJETI siyo Rais.
Magifuli lazima afundishwe namna ya kuheshimu UTAWALA WA SHERIA.....!!!
Sasa Kama kiongozi mwenyewe wa Bunge amelala usingizi wa pono akiamka na kusifu kwa mapambio asiyojua beat zake.Unategemea Jiwe afanyaje?
 
Magufuli kweli ni Mtawala asiye na DIRA wala UTASHI wa kuongoza nji hii...!!! Huyu jamaa Ni sawa na mvuta bhang tu. Hivi unasemaje "SITATENGA FEDHA YA KATIBA MPYA" kisa ATI watu wataenda kula pesa ya posho....ebho??
Hivi Magufuli hajui kuwa hiyo Fedha ni KODI ZETU? Yeye Nnani anayepanga bajeti na matumizi ya nchi? BAJETI hupangwa na BUNGE LA BAJETI siyo Rais.
Magifuli lazima afundishwe namna ya kuheshimu UTAWALA WA SHERIA.....!!!
Katiba inampa nguvu na uwezo wa kuamua chochote kwa masilahi mapana ya nchi
 
Sasa Kama kiongozi mwenyewe wa Bunge amelala usingizi wa pono akiamka na kusifu kwa mapambio asiyojua beat zake.Unategemea Jiwe afanyaje?
Hatuko kutetea ujinga hapa...!
Tunatakiwa kila mmoja awajibike kwene eneo lake tulilomkabidhi!!
Rais kwa eneo lake na Spika kwa eneo lake.
 
30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom