Mkaruka JF-Expert Member Feb 5, 2013 19,617 34,062 Mar 5, 2018 #1 Salaam sana Mhe. Rais, Mwanzoni haikuwa inapita muda mrefu kama sasa bila kupiga simu. - Siku hizi umekuwa kimya sana, hupigi simu mpaka hatuelewi.
Salaam sana Mhe. Rais, Mwanzoni haikuwa inapita muda mrefu kama sasa bila kupiga simu. - Siku hizi umekuwa kimya sana, hupigi simu mpaka hatuelewi.
Jurrasic Park JF-Expert Member Sep 13, 2013 3,790 6,765 Mar 5, 2018 #2 Yule chakubanga naniliu sijjui baba yake amegundua nini wakati analia shida maana namsomaga humu jf. Anyway ache ajipendekeze kama jeri muro au la si hivyo atakuwa sio mtz
Yule chakubanga naniliu sijjui baba yake amegundua nini wakati analia shida maana namsomaga humu jf. Anyway ache ajipendekeze kama jeri muro au la si hivyo atakuwa sio mtz
LIKE JF-Expert Member Dec 17, 2013 4,744 9,841 Mar 5, 2018 #4 Kwani Baby Kabae amerudi kutangaza hicho kipindi.? maana 'wengi' wameenda 'kumuunga' mkono kule wasafi tv
Kwani Baby Kabae amerudi kutangaza hicho kipindi.? maana 'wengi' wameenda 'kumuunga' mkono kule wasafi tv
Ngushi JF-Expert Member Jul 8, 2016 9,066 18,348 Mar 5, 2018 #5 Heller said: Kwani Baby Kabae amerudi kutangaza hicho kipindi.? maana 'wengi' wameenda 'kumuunga' mkono kule wasafi tv Click to expand... Lini kaenda huko wasafi TV?
Heller said: Kwani Baby Kabae amerudi kutangaza hicho kipindi.? maana 'wengi' wameenda 'kumuunga' mkono kule wasafi tv Click to expand... Lini kaenda huko wasafi TV?
Mkaruka JF-Expert Member Feb 5, 2013 19,617 34,062 May 27, 2020 Thread starter #6 Mbwembwe za Awamu ya Tano
Lakunle JF-Expert Member Aug 11, 2018 594 537 May 28, 2020 #7 Wapambane tu sasa wamepoteza dira toka master mind waiting afe