mr yamoto
JF-Expert Member
- Oct 2, 2016
- 923
- 1,393
Bashe aliongea kwa uchungu sana hil suala, Meko anavnga haoniHahahahahaaaaa,Bashe hawezi kuyasema tena hayo!Ashapewa tonge basi anakula buyu!
Ni kipindi ambacho jiwe alikua anabadilisha katiba ya chama ili asiwe na mpinzani hvy walihisi akina Bashe na msukuma wangeweza kumpinga
So far hata hayo majamaa hayawez kumsumbua tena sababu yapo kwa ajili ya kulinda interest za viongozi na sio taifa km ilivyo kwa mataifa mengineHahahahahaaaaa,Bashe hawezi kuyasema tena hayo!Ashapewa tonge basi anakula buyu!
Hahahahahaaaaa,Bashe hawezi kuyasema tena hayo!Ashapewa tonge basi anakula buyu!
Ukweli ni ukweli tu na utabaki kuwa ni ukweli hata usiposemwa. Meko hana kumbukumbu.Hahahahahaaaaa,Bashe hawezi kuyasema tena hayo!Ashapewa tonge basi anakula buyu!
Sijui kama ningeweza,ila Bashe ndio tayari katuonesha ni mtu wa namna gani!Wewe ungeweza?
Sijui kama ningeweza,ila Bashe ndio tayari katuonesha ni mtu wa namna gani!
Hahahaa watatekana wao kwa waoMaisha bwana sio mchezo. Sasa hao TISS waliomtekaga Bashe wamegeuka kuwa walinzi wake.
Wale TISS waliokuwa wanafatilia simu za Makamba na Nape sasa hivi hawana kazi wanasoma tu files ofisini.
SIASA NI SAYANSI TISS JIKITENI KWENYE UJASUSI WA KIUCHUMI TUTOKE KWENYE UMASKINI.
HIVI LEO HAO CHADEMA WOTE WAKIRUDI CCM TISS MTAFANYA KAZI GANI???!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulaji nao bhana mwingine,watu hawaongeagi wakati wa kula!
Sasa aseme tena ya nini? Ujumbe umefika,nashukuru nafasi aliyoteuliwa, imesaidia serikali kutoingilia bei ya mazao, naamini anashauri vizuri, kuliko wakimwacha yule Asunga naamini shida ingongezeka!Hahahahahaaaaa,Bashe hawezi kuyasema tena hayo!Ashapewa tonge basi anakula buyu!
Hili suala la Tiss kuteka watu mfano hai ni Zackaria wa Musoma Mbona mnataka kufanya watanzani wapumbavu.
Hili suala la Tiss kuteka watu mfano hai ni Zackaria wa Musoma Mbona mnataka kufanya watanzani wapumbavu.
Sent using Jamii Forums mobile app