kisepi
JF-Expert Member
- Jun 9, 2015
- 2,117
- 1,108
Mkuu kumbe hadi yule wa msoga naye alishika fagioKama Anaamka Asubuhi Na Kusema Tanzania Nzima Shikeni Mafagio Kama Malimbukeni Kwanini Asiwaone Mazero
Mkuu kumbe hadi yule wa msoga naye alishika fagioKama Anaamka Asubuhi Na Kusema Tanzania Nzima Shikeni Mafagio Kama Malimbukeni Kwanini Asiwaone Mazero
Umetumia vigezo gani kuwateua hawa mawaziri nalo ni swali? Ni bora angeuliza hivi "unatarajia nini kwa hawa mawaziri na manaibu uliowateua" au unawaeleza nini kuhusu matarajio ya Watanzania kwa serikali ya awamu ya 5. Samahani lakini. Ila waandishi wa habari tafuteni namna nzuri ya kuframe maswali ili majibu yatolewe kutokana na matakwa ya swali.
Leo nimemuona akijibu maswali ya waandishi baada ya kutangaza baraza lake la mawaziri. Pamoja na kwamba aliitisha maswali ni wazi kwamba alikuwa akiwajibu kavu wale waliouliza pamoja na waulizaji kujitahidi kuuliza maswali ya msingi.
Mtu anauliza umetumia vigezo gani kuwateua hao kuwa mawaziri. Jibu lake ni kuwa kwani nilitumia vigezo gani kumteua Majaliwa kuwa waziri mkuu? Sisi tunajuaje? Toa ufafanuzi mkuu.
Kwa mwendo huu waandishi watasusia mambo ya msingi sana na kumwachia Msigwa kutoa habari zote za Magufuli..
Hivi kulikuwa kuna umuhimu gani wa kuungunisha wizara mbili pamoja halafu Mawaziri wakawa wawili, kwanini asingeweka wizara mbili Ijulikane wazi kuwa wizara zipo mbili?
Hatuna rais tuna HitlerKwani maswali walio uliza sio ya maana? ulitaka wailize maswali gani ili uone yana maana ikiwa raisi anaulizwa maswali anajibu kavu unategemea nini? aliulizwa umetumia vigezo gani kuteua mawaziri! kajibu kavu. Akaulizwa kwa nini baadhi ya wizara umeweka manaibu waziri wawili kajibu kavu akulizwa ulitoa siku saba kwa wafanya biashara wa kubwa wawe wamelipa kodi je tajari wameshalipa wote ilikuwa ni ufafanuzi tu autoe akiwa kama raisi matokeo yake anajibu kavu kavu kwa kweli raisi wangu leo kachemsha sijapenda.
utafikiri aliwapania waandishi ile si nzuri kabisa nyerere alikuwa na majibu ya aina fulani lakini akiulizwa swali la ajabu atamshushua mtu na kutoa maelezo kwa nini amejibu hivyo na pengine kueleza kwa undani hilo alilohisi lilikuwa si swali la msingi.
JPM ametuonesha wananchi kuwa hatupaswi kumuuliza maswali kwa kumbukumbu zangu jana hakuna jibu swali hata moja ila alikuwa akitoa maelezo kwa vitu alivyovitaka yeye hata kama hajaulizwa.
Pole Sana Kwa Upeo Unao Upaka Rangi,kaulizwa Katumia Vipimo Gani?Unasema Sio Ya Msingi Kwani We Huo Ushabiki Wako Upunguza Hata Bei Ya Nondoo Au Kutoa Hata Ajira 50 Tu Zaidi Ya Mji Kurundikwa Vifusi Vya Taka Hopeless
Safi Magufuli si mlimzoea JK tukisema Kikwete amekuuza uhuru wa habari mnaleta midomo yenu sasa hapa kazi tu!
Wamuuliza wanini wamuache tu. Mnywaji akisifiwa Tembo hulitia maji
Julius Mtatiro ni miongoni mwa waumini wa taasisi imara badala ya watu binafsi walio imara.Hivi kulikuwa kuna umuhimu gani wa kuungunisha wizara mbili pamoja halafu Mawaziri wakawa wawili, kwanini asingeweka wizara mbili Ijulikane wazi kuwa wizara zipo mbili?
utafikiri aliwapania waandishi ile si nzuri kabisa nyerere alikuwa na majibu ya aina fulani lakini akiulizwa swali la ajabu atamshushua mtu na kutoa maelezo kwa nini amejibu hivyo na pengine kueleza kwa undani hilo alilohisi lilikuwa si swali la msingi.
JPM ametuonesha wananchi kuwa hatupaswi kumuuliza maswali kwa kumbukumbu zangu jana hakuna jibu swali hata moja ila alikuwa akitoa maelezo kwa vitu alivyovitaka yeye hata kama hajaulizwa.