Rais Magufuli shujaa wa Kiswahili hakuna ubishi

mzungu akija kujifunza kiswahili na akakijua hata kidogo hawezi kukichanganya na maneno ya kingereza(akili mkichwa)
 
Anakipambania kivipi? Hebu tuwekee ushahidi husika wa kuonyesha juhudi zake za kukipambania Kiswahili? Na unakipambaniaje kitu wakati wewe mwenyewe hutafuti muda wa kujifunza ili ukijue vizuri? 😳😳😳
Rejea maelezo ya uzi
 
Nimependa sana anavyojiamini, hata akiwa na mgeni badala ya kuwa mtumwa wa lugha amekuwa shujaa wetu.

Jiwe ameanza kukishabikia kiswahili baada ya kukosolewa kuwa Kingereza hakimudu, akaona isiwe shari ndio akaanza kuzungumza hata kisukuma kwenye mikutano!!! Hashabikii kiswahili kwa uzalendo bali kwa mapungufu yake kwenye lugha za kutoka ughaibuni!!!
 
Sitaki kuongea mengi ila toka ameingia 2015 mpaka kufikia hotuba yake ya jana ni dhahiri huyu mzee amekuza Kiswahili sana.

Nimependa sana anavyojiamini, hata akiwa na mgeni badala ya kuwa mtumwa wa lugha amekuwa shujaa wetu.

Tumpongeze kwa hilo tafadhali. Zamani, Watanzania wengi walifichwa mambo mengi kwenye lugha ya Kiingereza. Mf. Ukienda ofisi ya uma kueleza shida yako unaweza jibiwa kwa neno ambalo hulielewi na hapo hutakiwa na cha kuuliza tena.

Vivyo hivyo unakuta mtumishi wa serikali anazungumzia jambo basi kingereza 60% na Kiswahili 40%

Hata mahakamani sasa itakuwa Kiswahili hili jambo jema.
Salamu zimfikie prof Ndalichako, kile kiingereza cha kumhoji mkarandarasi kilitudhalilisha sana.
 
Back
Top Bottom