Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Bado hujagusa vile vitu nyeti mzee wetu tunataka walioiba mali ya umma wazirudishe mapema sana
Tunataka hii Nchi iwe ya watu wote na sio kikundi cha watu wachache
Sisi tuliopo huku vijijini tunataka lami umeme,maji,shule na zahanati zifike kila kijiji hatutaki milion 50 zitasababisha tulogane tu
Usiogope raia sisi wananchi tunajivunia wewe tutakulinda usiku na mchana
Halafu nimesikia kuna wazee wanakutukana hao waitwe Kwenye chama wapewe adhabu Kali iwe fundisho kwa wengine
Punguza upole mzee mafisadi yarudishe mali yalizopora kuanzia mali za chama mpaka za umma
Ni mimi mkulima wa korosho toka kusini
Tunataka hii Nchi iwe ya watu wote na sio kikundi cha watu wachache
Sisi tuliopo huku vijijini tunataka lami umeme,maji,shule na zahanati zifike kila kijiji hatutaki milion 50 zitasababisha tulogane tu
Usiogope raia sisi wananchi tunajivunia wewe tutakulinda usiku na mchana
Halafu nimesikia kuna wazee wanakutukana hao waitwe Kwenye chama wapewe adhabu Kali iwe fundisho kwa wengine
Punguza upole mzee mafisadi yarudishe mali yalizopora kuanzia mali za chama mpaka za umma
Ni mimi mkulima wa korosho toka kusini