Rais Magufuli, please don't bow down kwa hawa mabeberu wa US na EU, waeleze Tanzania ni nchi, a sovereign state

Wanabodi,

Hili ni bandiko la kuhamasisha uzalendo wetu kwa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao tusingependa kuona uhuru wa taifa letu unaingiliwa na taifa jingine lolote au mtu mwingine yoyote. Huu ni wakati wa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili kusimama as one kulitetea taifa letu against mabeberu, wakoloni mambo leo na vibaraka wao, dhidi ya maslahi mapana ya taifa letu.

Najua rais wetu Dr. John Pombe Joseph Magufuli atalihutubia taifa next week kujibu vitisho vya EU na US, sisi wazalendo wa kweli wa nchi hii, tunamsisitiza,
Never bow down to anyone, nether US, nor EU or anybody else, he should tell them that Tanzania is a Sovereign state, hatupangii nchi nyingine cha kufanya, hivyo na sisi hatupangii cha kufanya.

Kama hoja ni kufifisha democracy na ukiukwaji wa haki za binaadam, nchi ngapi zina bad democracy zaidi yetu na mmenyamaza, nchi ngapi zina worst human rights records kuliko sisi na mmenyamaza?. Tanzania tunafuata African democracy na Tanzania democracy, kama tumeamua mikutano ya siasa ni wakati wa kampeni tuu za uchaguzi mkuu, na baada ya uchaguzi ni wakati wa kufanya kazi, watu wote tufanye kazi ya kuijenga nchi, then hii ndio demokrasia yetu na hizi ndio human rights zetu, wasituingilie kwa kuimpose demokrasia modal yao na human rights standards zao kwetu!.

Watetezi we ubeberu watasema kwa vile sisi ni nchi masikini, na bajeti yetu inategemea misaada na mikopo ya nchi tajiri, hivyo ni lazima tuwapigie magoti kufuata wanachotaka, this time tuwagomee kuulinda uhuru wetu na sovereignty yetu, kama vipi bora waende tuu, ni heri tubaki masikini jeuri huru kuliko utumwa wa mabeberu kwa uhuru wa bendera, huku tukipangiwa kila kitu na mabeberu hawa.

Kama hoja ni umasikini, Tanzania ya leo sio masikini kivile hadi tuuze uhuru wetu kwa kuwanyenyekea mabeberu hawa. Kama tumeweza kununua ndege kwa cash tena fedha zetu wenyewe za ndani, sasa tunajenga reli ya SGR na mradi wa Stigle Gorje kwa fedha zetu wenyewe za ndani, then tukiamua kuijenga Tanzania bila misaada ya wazungu, tunaweza, tunaweza kupanga bajeti ya kile tuu tunachokusanya, ili tusiwategemee wafadhili katika bajeti zetu ili tusidhalilishwe kama sasa na hawa US na EU hadi kutuingilia uhuru wetu, kumpangia rais wetu.

P
Rejea za kuhamasisha uzalendo
Hata Nyerere alikataa, Rais Magufuli usikubali, shikilia msimamo. Tz tusikubali misaada na mikopo yenye masharti kuingilia sovereignty yetu - JamiiForums

Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums

Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, Nchi Yako Inatukanwa!, Rais Wako Anatukanwa!, Tumenyamaza!. Huu Ni Uzalendo Gani?!. - JamiiForums

Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe! - JamiiForums

‪Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist" - JamiiForums

Huku sio kudhalilishwa kwa Rais wetu na Media za Nje? Je, watanzania tukubali, Tukae kimya? - JamiiForums

Watanzania kwanini tunakubali Rais wetu adhalilishwe na media za nje kwa kuitwa "The 'Bulldozer' Tanzanian President"? - JamiiForums

Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu Magufuli kuwa ni Dikteta! - JamiiForums
kweli umeshtukia kama jiwe ni stupid, so you trying to play his rhythm to get on to the blues. kweli his is stupid but he is not a fool, ukuu wa wilaya haupatikani hivi, na kitu kizuri anakujua aliwahi kukwambia Mayalla means NJAAA.
 
Dunia ya leo Ni dunia ya maridhiano,na sio dunia ya kutunishiana misuli,tukiwatunishia misuli Hawa ndugu zetu hakuna rangi tutaacha kuiona
 
Tembo vs Sisimizi
Ingelikuwa hata nusu tu ya bajeti yetu tunajitegemea... ingelikuwa hatuombiombi... ingelikuwa hakuna ufisadi katika miradi... ingelikuwa hatuna unafikinafiki... ingelikuwa tunaweka wazi mikataba yote ya uwekezaji na miradi...
Ikiwa maneno "...KWA HISANI YA..." Tutaendelea kuyaona hadithi nyingi zitaendelea kuimbwa...
Ili kupata uzalendo tunahitaji MAPINDUZI YA KIFIKRA NA KIUCHUMI
 
Mfundishe pia namna ya kutengeneza condoms, mfundishe pia namna ya kutengeneza madawa ya aina zote, mfundishe pia kuwa hao unaowatunishia kifua wakiamua hautouza hata hayo madini yako yatabakia kuwa yako na hutokuwa na cha kuyafanyia, mfundishe kuwa wakiamua hauto-import chochote kutoka kwao, mkumbushe kuwa hata zimbabwe waliwatunishia msuli hao hao na walikuwa na kila kitu lakini vilibakia kuwa vya kwao na uchumi ukafa. Kisha mkumbushe kuwa bado wanatudai.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la kuhamasisha uzalendo wetu kwa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao tusingependa kuona uhuru wa taifa letu unaingiliwa na taifa jingine lolote au mtu mwingine yoyote. Huu ni wakati wa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili kusimama as one kulitetea taifa letu against mabeberu, wakoloni mambo leo na vibaraka wao, dhidi ya maslahi mapana ya taifa letu.

Najua rais wetu Dr. John Pombe Joseph Magufuli atalihutubia taifa next week kujibu vitisho vya EU na US, sisi wazalendo wa kweli wa nchi hii, tunamsisitiza,
Never bow down to anyone, nether US, nor EU or anybody else, he should tell them that Tanzania is a Sovereign state, hatupangii nchi nyingine cha kufanya, hivyo na sisi hatupangii cha kufanya.

Kama hoja ni kufifisha democracy na ukiukwaji wa haki za binaadam, nchi ngapi zina bad democracy zaidi yetu na mmenyamaza, nchi ngapi zina worst human rights records kuliko sisi na mmenyamaza?. Tanzania tunafuata African democracy na Tanzania democracy, kama tumeamua mikutano ya siasa ni wakati wa kampeni tuu za uchaguzi mkuu, na baada ya uchaguzi ni wakati wa kufanya kazi, watu wote tufanye kazi ya kuijenga nchi, then hii ndio demokrasia yetu na hizi ndio human rights zetu, wasituingilie kwa kuimpose demokrasia modal yao na human rights standards zao kwetu!.

Watetezi we ubeberu watasema kwa vile sisi ni nchi masikini, na bajeti yetu inategemea misaada na mikopo ya nchi tajiri, hivyo ni lazima tuwapigie magoti kufuata wanachotaka, this time tuwagomee kuulinda uhuru wetu na sovereignty yetu, kama vipi bora waende tuu, ni heri tubaki masikini jeuri huru kuliko utumwa wa mabeberu kwa uhuru wa bendera, huku tukipangiwa kila kitu na mabeberu hawa.

Kama hoja ni umasikini, Tanzania ya leo sio masikini kivile hadi tuuze uhuru wetu kwa kuwanyenyekea mabeberu hawa. Kama tumeweza kununua ndege kwa cash tena fedha zetu wenyewe za ndani, sasa tunajenga reli ya SGR na mradi wa Stigle Gorje kwa fedha zetu wenyewe za ndani, then tukiamua kuijenga Tanzania bila misaada ya wazungu, tunaweza, tunaweza kupanga bajeti ya kile tuu tunachokusanya, ili tusiwategemee wafadhili katika bajeti zetu ili tusidhalilishwe kama sasa na hawa US na EU hadi kutuingilia uhuru wetu, kumpangia rais wetu.

P
Rejea za kuhamasisha uzalendo
Hata Nyerere alikataa, Rais Magufuli usikubali, shikilia msimamo. Tz tusikubali misaada na mikopo yenye masharti kuingilia sovereignty yetu - JamiiForums

Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums

Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, Nchi Yako Inatukanwa!, Rais Wako Anatukanwa!, Tumenyamaza!. Huu Ni Uzalendo Gani?!. - JamiiForums

Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe! - JamiiForums

‪Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist" - JamiiForums

Huku sio kudhalilishwa kwa Rais wetu na Media za Nje? Je, watanzania tukubali, Tukae kimya? - JamiiForums

Watanzania kwanini tunakubali Rais wetu adhalilishwe na media za nje kwa kuitwa "The 'Bulldozer' Tanzanian President"? - JamiiForums

Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu Magufuli kuwa ni Dikteta! - JamiiForums


Hivi ni nani kamwambia mtu anyenyekee zaidi ya umaskini wetu?
 
Yani mimi hapo sijaelewa Democrasia wanayotaka USA & EU. Democrasia wanataka kila siku tuandamane uchaguzi mpaka uchaguzi mwingine? Lakini kama ni hivyo, mbona kwao hawako hivyo( kuandamana kila siku) au wanatuona sisi hatuna akiri?
Watatujaza fikira mbaya alafu watakuja kutucheka badae.
 
Mfundishe pia namna ya kutengeneza condoms, mfundishe pia namna ya kutengeneza madawa ya aina zote, mfundishe pia kuwa hao unaowatunishia kifua wakiamua hautouza hata hayo madini yako yatabakia kuwa yako na hutokuwa na cha kuyafanyia, mfundishe kuwa wakiamua hauto-import chochote kutoka kwao, mkumbushe kuwa hata zimbabwe waliwatunishia msuli hao hao na walikuwa na kila kitu lakini vilibakia kuwa vya kwao na uchumi ukafa. Kisha mkumbushe kuwa bado wanatudai.
Vingine ladba uko sawa lakini kudaiwa sio shida, wakiona madeni mengi sana wazungu wametuzoesha kuyasamahe madeni.
 
View attachment 1176375
View attachment 1176373



View attachment 1176390

Ubalozi wa Uingereza na Marekani nchini Tanzania wametoa tamko la pamoja kuhusu kile walichokiita "wasiwasi wa kuzorota kwa kwa haki za kisheria nchini Tanzania."

Katika tamko hilo, ofisi hizo mbili za ubalozi zinadai kuwa imedhihirika kwa zaidi ya mara moja watu kutiwa kizuizini kwa muda nchini Tanzania bila kupelekwa mahakamani na kubadilishiwa mashitaka na mamlaka zake za kisheria.

"Tuna wasiwasi hasa kwa tukio la hivi karibuni -- jinsi ambavyo halikushughulikiwa kwa haki la kukamatwa, kuwekwa kizuizini na tuhuma za mashtaka ya mwandishi wa habari za uchunguzi Bw Erick Kabendera, ikizingatiwa ukweli kwamba alinyimwa haki ya kuwa na mwanasheria kwenye hatua za awali na kutiwa kizuizini kwake, ambapo ni kinyume cha sheria ya makosa ya jinai," inasema sehemu ya tamko hilo.

"Tunaisihi serikali ya Tanzania kutoa hakikisho la mchakato wa kutenda haki kisheria kwa raia wake, kama ilivyotambua kwamba ni haki ya msingi na kuridhia kwenye mikataba mbali mbali ya haki za kibinaadamu ya Umoja wa Mataifa, miongoni mwao ikiwemo azimio la kimataifa la haki za kirai na kisiasa."

Erick Kabendera alipandishwa kizimbani Jumatatu ya wiki hii ikiwa ni wiki moja toka alipokamatwa na vyombo vya usalama nchini Tanzania.

Mkuu Informer, asante kwa taarifa hii, naitafakari kwa makini na kuiangalia kama sio kuingilia mambo yetu ya ndani.
P
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la kuhamasisha uzalendo wetu kwa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao tusingependa kuona uhuru wa taifa letu unaingiliwa na taifa jingine lolote au mtu mwingine yoyote. Huu ni wakati wa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili kusimama as one kulitetea taifa letu against mabeberu, wakoloni mambo leo na vibaraka wao, dhidi ya maslahi mapana ya taifa letu.

Najua rais wetu Dr. John Pombe Joseph Magufuli atalihutubia taifa next week kujibu vitisho vya EU na US, sisi wazalendo wa kweli wa nchi hii, tunamsisitiza,
Never bow down to anyone, nether US, nor EU or anybody else, he should tell them that Tanzania is a Sovereign state, hatupangii nchi nyingine cha kufanya, hivyo na sisi hatupaswi kupangiwa cha kufanya kwa kuingiliwa mambo yetu ya ndani.

Kama hoja ni kufifisha democracy na ukiukwaji wa haki za binaadam, nchi ngapi zina bad democracy records kuliko sisi na wamekaa kimya, why we?. Nchi ngapi zina worst human rights records kuliko sisi na mmenyamaza?. Tanzania tunafuata African democracy na Tanzania democracy, kama tumeamua mikutano ya siasa ni wakati wa kampeni tuu za uchaguzi mkuu, na baada ya uchaguzi ni wakati wa kufanya kazi, watu wote tufanye kazi ya kuijenga nchi, then hii ndio demokrasia yetu na hizi ndio human rights zetu, wasituingilie kwa kuimpose demokrasia modal yao na human rights standards zao kwetu!.

Watetezi we ubeberu watasema kwa vile sisi ni nchi masikini, na bajeti yetu inategemea misaada na mikopo ya nchi tajiri, hivyo ni lazima tuwapigie magoti kufuata wanachotaka, this time tuwagomee kuulinda uhuru wetu na sovereignty yetu, kama vipi bora waende tuu, ni heri tubaki masikini jeuri huru kuliko utumwa wa mabeberu kwa uhuru wa bendera, huku tukipangiwa kila kitu na mabeberu hawa.

Kama hoja ni umasikini, Tanzania ya leo sio masikini kivile hadi tuuze uhuru wetu kwa kuwanyenyekea mabeberu hawa. Kama tumeweza kununua ndege kwa cash tena fedha zetu wenyewe za ndani, sasa tunajenga reli ya SGR na mradi wa Stigle Gorje kwa fedha zetu wenyewe za ndani, then tukiamua kuijenga Tanzania bila misaada ya wazungu, tunaweza, tunaweza kupanga bajeti ya kile tuu tunachokusanya, ili tusiwategemee wafadhili katika bajeti zetu ili tusidhalilishwe kama sasa na hawa US na EU hadi kutuingilia uhuru wetu, kumpangia rais wetu.

P
Rejea za kuhamasisha uzalendo
Hata Nyerere alikataa, Rais Magufuli usikubali, shikilia msimamo. Tz tusikubali misaada na mikopo yenye masharti kuingilia sovereignty yetu - JamiiForums

Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums

Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, Nchi Yako Inatukanwa!, Rais Wako Anatukanwa!, Tumenyamaza!. Huu Ni Uzalendo Gani?!. - JamiiForums

Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe! - JamiiForums

‪Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist" - JamiiForums

Huku sio kudhalilishwa kwa Rais wetu na Media za Nje? Je, watanzania tukubali, Tukae kimya? - JamiiForums

Watanzania kwanini tunakubali Rais wetu adhalilishwe na media za nje kwa kuitwa "The 'Bulldozer' Tanzanian President"? - JamiiForums

Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu Magufuli kuwa ni Dikteta! - JamiiForums
Pascal nimeona jinsi unavyo stahili kufanyiwa tohara ya akili, hivi kweli haya yanayo endelea hapa nchini kwako wewe unaona ni sawa?
Na huwenda umetawaliwa na ukabila pamoja na ukanda.
 
Watu wabaya sana eti bro wanasems umemsnitch kabendela watu bwana eti unajipendekeza pendekeza kwa ngosha mwenzako watu bwana
 
Yani mimi hapo sijaelewa Democrasia wanayotaka USA & EU. Democrasia wanataka kila siku tuandamane uchaguzi mpaka uchaguzi mwingine? Lakini kama ni hivyo, mbona kwao hawako hivyo( kuandamana kila siku) au wanatuona sisi hatuna akiri?
Watatujaza fikira mbaya alafu watakuja kutucheka badae.
Ungekua na akili hata kidogo ungeandika ujinga huu huna akili kweli ila maandamano ya kuunga kauli za jiwe mnaruhusu ila ya wapinzani mnapiga risasi afu marekani na ulaya maandamano yapo daily kwa kua wao wanaheshimu katiba zao ndo maana sio big issue angalia vyombo vya kimataifa sio kila siku unaangalia TBCccm utaishia kuona kishindo cha awamu ya 5 mara safari ya dodoma saa ngap utajua ya duniani
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la kuhamasisha uzalendo wetu kwa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao tusingependa kuona uhuru wa taifa letu unaingiliwa na taifa jingine lolote au mtu mwingine yoyote. Huu ni wakati wa sisi Watanzania wazalendo wa kweli wa taifa hili kusimama as one kulitetea taifa letu against mabeberu, wakoloni mambo leo na vibaraka wao, dhidi ya maslahi mapana ya taifa letu.

Najua rais wetu Dr. John Pombe Joseph Magufuli atalihutubia taifa next week kujibu vitisho vya EU na US, sisi wazalendo wa kweli wa nchi hii, tunamsisitiza,
Never bow down to anyone, nether US, nor EU or anybody else, he should tell them that Tanzania is a Sovereign state, hatupangii nchi nyingine cha kufanya, hivyo na sisi hatupaswi kupangiwa cha kufanya kwa kuingiliwa mambo yetu ya ndani.

Kama hoja ni kufifisha democracy na ukiukwaji wa haki za binaadam, nchi ngapi zina bad democracy records kuliko sisi na wamekaa kimya, why we?. Nchi ngapi zina worst human rights records kuliko sisi na mmenyamaza?. Tanzania tunafuata African democracy na Tanzania democracy, kama tumeamua mikutano ya siasa ni wakati wa kampeni tuu za uchaguzi mkuu, na baada ya uchaguzi ni wakati wa kufanya kazi, watu wote tufanye kazi ya kuijenga nchi, then hii ndio demokrasia yetu na hizi ndio human rights zetu, wasituingilie kwa kuimpose demokrasia modal yao na human rights standards zao kwetu!.

Watetezi we ubeberu watasema kwa vile sisi ni nchi masikini, na bajeti yetu inategemea misaada na mikopo ya nchi tajiri, hivyo ni lazima tuwapigie magoti kufuata wanachotaka, this time tuwagomee kuulinda uhuru wetu na sovereignty yetu, kama vipi bora waende tuu, ni heri tubaki masikini jeuri huru kuliko utumwa wa mabeberu kwa uhuru wa bendera, huku tukipangiwa kila kitu na mabeberu hawa.

Kama hoja ni umasikini, Tanzania ya leo sio masikini kivile hadi tuuze uhuru wetu kwa kuwanyenyekea mabeberu hawa. Kama tumeweza kununua ndege kwa cash tena fedha zetu wenyewe za ndani, sasa tunajenga reli ya SGR na mradi wa Stigle Gorje kwa fedha zetu wenyewe za ndani, then tukiamua kuijenga Tanzania bila misaada ya wazungu, tunaweza, tunaweza kupanga bajeti ya kile tuu tunachokusanya, ili tusiwategemee wafadhili katika bajeti zetu ili tusidhalilishwe kama sasa na hawa US na EU hadi kutuingilia uhuru wetu, kumpangia rais wetu.

P
Rejea za kuhamasisha uzalendo
Hata Nyerere alikataa, Rais Magufuli usikubali, shikilia msimamo. Tz tusikubali misaada na mikopo yenye masharti kuingilia sovereignty yetu - JamiiForums

Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa - JamiiForums

Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, Nchi Yako Inatukanwa!, Rais Wako Anatukanwa!, Tumenyamaza!. Huu Ni Uzalendo Gani?!. - JamiiForums

Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe! - JamiiForums

‪Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist" - JamiiForums

Huku sio kudhalilishwa kwa Rais wetu na Media za Nje? Je, watanzania tukubali, Tukae kimya? - JamiiForums

Watanzania kwanini tunakubali Rais wetu adhalilishwe na media za nje kwa kuitwa "The 'Bulldozer' Tanzanian President"? - JamiiForums

Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu Magufuli kuwa ni Dikteta! - JamiiForums
Kaka kabla ya kuandika haya maelezo yoote najua waelewa wazi kuwa US na BR wamelenga kumtemtea "Erick"dhidi ya uovu anaofanyiwa kwa faida yangu na wewe pia mbeleni.."you never now who is next"....Basi na wewe kama mwandishi nguli wa kitambo hoja yako ingejikita katika kumlinda "Jiwe" kwa yale yoote wanayomfanyia "Erick" bila kuhusisha mengine yasiyo ya msingi kwani hapa hoja ya msingi inaeleeweka..Kama unakubaliana na anayofanyiwa "Erick" jenga hoja ya kwanini unakubaliana matendo yao badala ya kuanza kutafuta "ukuu wa wilaya " kwa njia ya " kutoa hongo(Rushwa) ya kusifia"... Wahenga wa kichina walisema ukiona mwenzako kanyolewa na wewe basi tia maji......
 
Back
Top Bottom