Sasa umeanza kuwa Mtanzania halisi. Hongera sana kwa kurudi kwenye kundi la watz halisi.Tatizo la Kenya ni wivu na kujifanya wanajuwa kila kitu kumbe wapumbavu wanatawaliwa kifamilia na kikabila. makampuni yao mengi yaliingia tanzania kinyemela kufanya biashara, mashule, mabank asikomee KQ pekee.