The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Magufuli please upitie upya mkataba wa KQ na Tanzania.
Wakati wa JK .. waziri Samuel Sitta aligundua huo mkataba una matatizo mengi ikiwemo KQ kuzidisha namba ya safari za kuja Tanzania kinyume na mkataba.
Naomba Rais Magufuli aupitie mkataba upya...ili twende sawa.
Wakati wa JK .. waziri Samuel Sitta aligundua huo mkataba una matatizo mengi ikiwemo KQ kuzidisha namba ya safari za kuja Tanzania kinyume na mkataba.
Naomba Rais Magufuli aupitie mkataba upya...ili twende sawa.