NIFEDIPINE
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 209
- 210
Pandisha madaraja ya mishahara watumishi wa umma kuanzia August 2013 na 2014. Watumishi hawa wanasubiri tamko lako ili wapande madaraja mishahara yao iongezeke. Viongozi wanasubiri useme kitu ili wapitishe. Toa tamko maana ni haki yao kupanda madaraja na ulisema hujakataza kupanda madaraja
Vijana wako wakipita hapa naamini watakufikishia ujumbe. Watumishi hawa wamekaa miaka 6 mpaka 7 bila ya kupanda daraja ili hali maisha yakipanda.
Vijana wako wakipita hapa naamini watakufikishia ujumbe. Watumishi hawa wamekaa miaka 6 mpaka 7 bila ya kupanda daraja ili hali maisha yakipanda.