Eternal_Life
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 812
- 1,672
Msengerema at his best.Rudi kwenu utuachie nchi yetu shuwain.
Mimi nimestuka, sijamuhusisha mwingine sawa? Halafu kwani usanii Hadi ukalazwe Mwenge Dispensary? Nasisitiza Mimi ndiye niliyestuka, kwa heriUnaelewa unachoongea ww? Mtu kalazwa ICU ya hospital kubwa ya KCMC...sasa angekua msanii hao madaktari walimpelekaje ICU so unataka kusema kua madaktari wa KCMc wametumiwa kufanikisha usanii wa mbowe kwa kumuingiza icu?
Jifunze kua na logic reasoning
Mimi NABISHA!Hahah nna uhakika hakuna hata 1 atakayeandamana nchi hii,kama kuna anayebisha aseme hapa.
Mambo Ya Mtandaon Rais Kuyazungumza Ni Udhaifu Wa Rais Na Taasisi Yake
Wewe nani si libogus flani tu!..hata mtt wako akikohoa utasemaa..ooh nipo hapa mheshimiwa!..inaonesha ni jinsi gani upo effected kisaikolojia!..utakuwa ndio mheshimiwa hadi kaburini na huta upa nafasi ubongo wako upembue whats bad and good...si ajabu utawaambukiza hadi watoto wako!...shame on you..Laana itakuandama mchumia tumbo wewe!Sisi tulio wengi tuliompa kura tunaunga mkono kauli take na akurudi kuomba kura tutampa
NonsenseMimi nimestuka, sijamuhusisha mwingine sawa? Halafu kwani usanii Hadi ukalazwe Mwenge Dispensary? Nasisitiza Mimi ndiye niliyestuka, kwa heri
Mbona naona kama vile wewe unamahamasisha wenzio tuu?Patamu sana tusubiri kuona....
Nahisi itakua ni zaidi ya enzi za CUF ile ya ngangari na ngunguri
Sema na nyie waandamanaji safari hii mfanye kweli isije kua mnapiga tu JAMBA JAMBA halafu hamuandamani ikifika iyo tarehe....
Kiukweli msipoandamana iyo tarehe 26/4 mtatuangusha sana Watanzania tunaotaka mabadiliko mana tunawategemea nyinyi waandamanaji muikomboe nchi yetu.
Inshallah!
Sijaelewa chochote boss.Naomba jibu 1Mimi NABISHA!
HALI TETE,NCHI IMETAHARUKI,WATU WAMECHOKA,WAMEJITOA MHANGA,
KUNA WATU WATAMGEUKA before 26/4
MARK MY WRITING!
also kuna watu wanaifanya hii NCHI iendelee kuwa na AMANI
hao ni wale ambao wanakesha kuombea AMANI YA NCHI
But hata MUNGU KARUHUSU YATOKEE!!
PS:ELEWA HIVYO
We ni mjinga unawaza tu maandamano hujui kama kuna kupinduliwa pia na hao hao anaofikiri wanamlinda kwa sasa!Hahah nna uhakika hakuna hata 1 atakayeandamana nchi hii,kama kuna anayebisha aseme hapa.
Hahahaha!!, Oyoooo!Jamaa mwoga kweli huyu sijawahi ona yaani anamwogopa hadi mange kimambi
Toa hao waliowakimbiaWabunge wa upinzani walipigiwa kura zaidi ya million 5 ndio naongelea hao malaki ukiachana na vijana wa kijiweni ambao hawakupiga kura....ni mamilion muhim msizuie maana ni maandamano ya amani utakuja kuniambia kma atabaki mtu nyumbani