Mzee wa Masauti
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 2,199
- 2,508
Naishi kwa kufuata katiba ya nchi inayoruhusu maandamano ya amani.The Hague sio issue sana. Issue ni sisi tunawasubiri kwa hamu ili tuvunje hiyo miguu, tuna morali ya kufa mtu. Hakuna atakaemini kitakachotokea. Jidanganyeni na Hague yenu hiyo.
Unaleta mbwembwe afu unaishi kwenye banda la mbwa. Nyie kama mnathaminiwa msingeletewa askari kutoka Rwanda kufanya majukumu yenu.
Hadi ile nyumba ya magogoni inalindwa na wanyarandwa. It's a shame to u!
Za kuambiwa uchanganye na za kwako blazaa