tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
- Thread starter
- #1,441
Comment yako haileweki unachanganya mamboNimeweka Mada ya kuuliza juzi kimetokea nini hapo Lugalo na kueleta purukushani imeondolewa haraka Sana kama ilivyo ada siku hizi
Hii inaonyesha waliosema itolewe wanajua kuna tatizo , sio hali ya kawaida
Ndio maana wengi tunaojua kuchambua mambo tuliwaambia muwe Makini Sana haya maandamano ni diversion strategy tu ... na hayaratibiwi na watu wa kawaida ni watu well connected in the system
Waliondoa topic kama siku ilipowekwa topic ya Upanga ilipondolwa haraka
Najiuliza na Huo ufa humo Ndani mkiwaingiza Mitaaani wadhibiti hali ,hawatawajeuka???
Na hao Polisi discipline Yao na morali ndio iko chini kuliko wote !!!!