JPM NUSURU NJOZI YAKO YA KUFUFUA ATCL.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof Makame Mbarawa amemsimamisha kazi kaimu Mkurugenzi mkuu wa shirika la ndege Tanzania ATCL Captain Jonson Mfinanga na Mkurugenzi wa uendeshaji Captain Sadick Muze kwa kosa la kuchagua rubani mmoja asiye na sifa kati ya marubani watano wanaotarajia kuondoka hapo kesho kwenda nchini Canada kwa ajili ya mafunzo ya kurusha ndege mpya zinazotarajiwa kuwasili nchini katikati ya mwezi Septemba.
Akizungumza na waandishi wa habari mkoani Mbeya Pro.Mbarawa amesema baada ya kukamilisha malipo ya awali ya ununuzi wa ndege mbili mpya kwa ajili ya shirika la ndege Tanzania ATCL alitoa maelekezo kwa kaimu Mkurugenzi Mkuu huyo kuwachagua marubani watano wenye sifa ili waende nchini Canada kwa ajili ya mafunzo ya kurusha ndege hizo pindi zitakapo wasili jambo ambalo amesema miongoni mwa marubani hao watano waliochaguliwa mmoja hajatimiza vigezo hivyo kuamua kumsimamisha kazi kwa kosa la uzembe.
UKWELI WENYEWE NI HUU.
1.Ni ukweli kuwa serikali ya awamu ya tano, imenunua ndege mbili kubwa Bombardier DHC 8 Q 400 kutoka Toronto Canada,na katika mkataba wa manunuzi ya ndege hizo pamoja na mambo mengine walikubaliana kuwapa mafunzo ma-pilot wetu 16 kwa maana ma-pilot 8 kwa kila ndege.
Kwahiyo swala la Waziri kusema alitoa maelekezo kwa Kaimu Mkurugenzi kuwachagua watu 5 kwenda mafunzo Canada haikuwa sawa na geni kwa uongozi wa ATCL kwani lilikuwa makubaliano ya kimkataba kati ya kampuni ya wauza ndege na ATCL.
RATIBA YA MAFUNZO ILIYOTOLEWA NA KAMPUNI YA BOMBARDIER DHC 8 Q400
Phase 1. Toronto- Canada { from 8 August, 2016 to 2 September, 2016} nafasi 4
Phase 2. Fanborough- UK { from 22 August, 2016 to 16 September, 2016} nafasi 4
Phase 3. Toronto- Canada { from 12 September, 2016 to 7 October, 2016} nafasi 6
Phase 4. Toronto- Canada { from 14 October 2016, to 11 November, 2016} nafasi (bado hazijapangwa).
Phase 5. Difference course- date to be notified.
Note: walioitajika kwenda kwenye mafunzo haya ya ndege mpya Bombardier DHC 8 Q400 walipaswa wawe na vigezo vikubwa 2
Wawe wamerusha ndege masaa yasiyopungua 500 yaani kwa uchache.
Na katika masaa hayo 500 ya urushaji ndege yawe ni ya ndege yenye injini mbili.
Safari ya mafunzo ya kwanza kwenda Toronto-Canada tar 8 August 2016 mpaka 2 September 2016 yaani siku 25,makapteni wafuatao waliteuliwa kuhudhuria
John Mturi. Rank Captain B737-200 miaka 58, flight hrs 12,500 (training cpt)
Taibali Taher. First Officer B.737-200 miaka 39, flight hrs 3500
Farhad Kadu. First Officer Dash8 Q300 miaka 43, flight hrs 8600
Ahmed khamis Ahmed. Captain, miaka 60, flight hrs 13800.
Ikumbukwe kuwa ktk tasnia hii ya URUBANI kustaafu ni miaka 65
Note: Makapteni wote hawa 4 wanatambuliwa na TANZANIA CIVIL AVIATION AUTHORITY ( TCAA) na AIR TANZANIA COMPANY LIMITED Kama makapteni wao. Aidha pia makapteni wote hawa 4 leseni zao za kurusha ndege zimekwisha( lapsed license) kwa sababu kuu mbili 1. Hapakuwa na ndege za serikali za kurusha 2. ATCL hawakuwa na fedha za mafunzo ya ma-pilot kwani hata zingekuwepo wangepoteza kwani hawakuwa na ndege wala mpango wa karibuni wa kununua ndege.
Sheria ya CIVIL AVIATION ( personnel licencing ) Regulations 2011, as amended and the Advisory Circular CAA-AC-PEL001B.
To renew the lapsed lincences, the requirement are;
Above one year up to five years
(a) If the pilot has no flying experience during that period, he has to fly 6 hours including six take offs and landings as pilot in command
(b) Pass a proficiency flight check out on the aircraft rated on.
(c) Pass the knowledge test in CPL/ATPL Air law.
Kutokana na ukweli kuwa ma-pilot 4 leseni zao zilikuwa zimeisha HAZIWAONDOLEI SIFA YA URUBANI bali wanakosa SIFA ya kurusha ndege mpaka hapo watakapo kuwa wamefanya mafunzo mapya na kwenda TANZANIA CIVIL AVIATION AUTHORITY kufanya mtihani ili sasa leseni zao ziwe HAI ili warushe ndege.
Ndio maana sasa wanaenda training ya siku 25 Toronto Canada kwa minajili hiyo ili sasa wakirudi wamalizie TCA mitihani warushe ndege mpya za BOMBARDIER DHC 8 Q400.
MASWALI MUHIMU KWA WAZIRI
Atutajie majina ya marubani 5 ambao walikuwa kwenye orodha ya kusafiri ilihali walikuwa 4 kulingana na nafasi zilizopatikana za kwenda mafunzo Toronto Canada na ndio walioombewa visa na ndio WALIOSAFIRI na nimewataja hapo juu huyo mmoja ni nani?
Aliyepelekea kuwasimamisha viongozi waanadamizi wa ATCL kwa kuwa alikuwa HANA SIFA. Na wanakuwa 4 kwa pair yaani captain na first officer.
Mh Waziri atutajie wasifu wa walioenda mafunzo na aliyeachwa kutoka na kukosa SIFA ili sasa tuondoe sintofahamu iliyotokea ambayo siyo tu inaviashiria vyote VYA UONEVU,VIASHIRIA VYA DHULUMA na NIA OVU YA KUHUJUMU MRADI MPYA WA NDEGE kwa kuwaondoa watu muhimu walioshiriki katika kufanikisha njozi ya mh Raisi ya kufufua shirika la ndege
ZINGATIO
Mh Waziri akijibu haya nitaendelea kueleza kilichojificha nyuma ya pazia.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof Makame Mbarawa amemsimamisha kazi kaimu Mkurugenzi mkuu wa shirika la ndege Tanzania ATCL Captain Jonson Mfinanga na Mkurugenzi wa uendeshaji Captain Sadick Muze kwa kosa la kuchagua rubani mmoja asiye na sifa kati ya marubani watano wanaotarajia kuondoka hapo kesho kwenda nchini Canada kwa ajili ya mafunzo ya kurusha ndege mpya zinazotarajiwa kuwasili nchini katikati ya mwezi Septemba.
Akizungumza na waandishi wa habari mkoani Mbeya Pro.Mbarawa amesema baada ya kukamilisha malipo ya awali ya ununuzi wa ndege mbili mpya kwa ajili ya shirika la ndege Tanzania ATCL alitoa maelekezo kwa kaimu Mkurugenzi Mkuu huyo kuwachagua marubani watano wenye sifa ili waende nchini Canada kwa ajili ya mafunzo ya kurusha ndege hizo pindi zitakapo wasili jambo ambalo amesema miongoni mwa marubani hao watano waliochaguliwa mmoja hajatimiza vigezo hivyo kuamua kumsimamisha kazi kwa kosa la uzembe.
UKWELI WENYEWE NI HUU.
1.Ni ukweli kuwa serikali ya awamu ya tano, imenunua ndege mbili kubwa Bombardier DHC 8 Q 400 kutoka Toronto Canada,na katika mkataba wa manunuzi ya ndege hizo pamoja na mambo mengine walikubaliana kuwapa mafunzo ma-pilot wetu 16 kwa maana ma-pilot 8 kwa kila ndege.
Kwahiyo swala la Waziri kusema alitoa maelekezo kwa Kaimu Mkurugenzi kuwachagua watu 5 kwenda mafunzo Canada haikuwa sawa na geni kwa uongozi wa ATCL kwani lilikuwa makubaliano ya kimkataba kati ya kampuni ya wauza ndege na ATCL.
RATIBA YA MAFUNZO ILIYOTOLEWA NA KAMPUNI YA BOMBARDIER DHC 8 Q400
Phase 1. Toronto- Canada { from 8 August, 2016 to 2 September, 2016} nafasi 4
Phase 2. Fanborough- UK { from 22 August, 2016 to 16 September, 2016} nafasi 4
Phase 3. Toronto- Canada { from 12 September, 2016 to 7 October, 2016} nafasi 6
Phase 4. Toronto- Canada { from 14 October 2016, to 11 November, 2016} nafasi (bado hazijapangwa).
Phase 5. Difference course- date to be notified.
Note: walioitajika kwenda kwenye mafunzo haya ya ndege mpya Bombardier DHC 8 Q400 walipaswa wawe na vigezo vikubwa 2
Wawe wamerusha ndege masaa yasiyopungua 500 yaani kwa uchache.
Na katika masaa hayo 500 ya urushaji ndege yawe ni ya ndege yenye injini mbili.
Safari ya mafunzo ya kwanza kwenda Toronto-Canada tar 8 August 2016 mpaka 2 September 2016 yaani siku 25,makapteni wafuatao waliteuliwa kuhudhuria
John Mturi. Rank Captain B737-200 miaka 58, flight hrs 12,500 (training cpt)
Taibali Taher. First Officer B.737-200 miaka 39, flight hrs 3500
Farhad Kadu. First Officer Dash8 Q300 miaka 43, flight hrs 8600
Ahmed khamis Ahmed. Captain, miaka 60, flight hrs 13800.
Ikumbukwe kuwa ktk tasnia hii ya URUBANI kustaafu ni miaka 65
Note: Makapteni wote hawa 4 wanatambuliwa na TANZANIA CIVIL AVIATION AUTHORITY ( TCAA) na AIR TANZANIA COMPANY LIMITED Kama makapteni wao. Aidha pia makapteni wote hawa 4 leseni zao za kurusha ndege zimekwisha( lapsed license) kwa sababu kuu mbili 1. Hapakuwa na ndege za serikali za kurusha 2. ATCL hawakuwa na fedha za mafunzo ya ma-pilot kwani hata zingekuwepo wangepoteza kwani hawakuwa na ndege wala mpango wa karibuni wa kununua ndege.
Sheria ya CIVIL AVIATION ( personnel licencing ) Regulations 2011, as amended and the Advisory Circular CAA-AC-PEL001B.
To renew the lapsed lincences, the requirement are;
Above one year up to five years
(a) If the pilot has no flying experience during that period, he has to fly 6 hours including six take offs and landings as pilot in command
(b) Pass a proficiency flight check out on the aircraft rated on.
(c) Pass the knowledge test in CPL/ATPL Air law.
Kutokana na ukweli kuwa ma-pilot 4 leseni zao zilikuwa zimeisha HAZIWAONDOLEI SIFA YA URUBANI bali wanakosa SIFA ya kurusha ndege mpaka hapo watakapo kuwa wamefanya mafunzo mapya na kwenda TANZANIA CIVIL AVIATION AUTHORITY kufanya mtihani ili sasa leseni zao ziwe HAI ili warushe ndege.
Ndio maana sasa wanaenda training ya siku 25 Toronto Canada kwa minajili hiyo ili sasa wakirudi wamalizie TCA mitihani warushe ndege mpya za BOMBARDIER DHC 8 Q400.
MASWALI MUHIMU KWA WAZIRI
Atutajie majina ya marubani 5 ambao walikuwa kwenye orodha ya kusafiri ilihali walikuwa 4 kulingana na nafasi zilizopatikana za kwenda mafunzo Toronto Canada na ndio walioombewa visa na ndio WALIOSAFIRI na nimewataja hapo juu huyo mmoja ni nani?
Aliyepelekea kuwasimamisha viongozi waanadamizi wa ATCL kwa kuwa alikuwa HANA SIFA. Na wanakuwa 4 kwa pair yaani captain na first officer.
Mh Waziri atutajie wasifu wa walioenda mafunzo na aliyeachwa kutoka na kukosa SIFA ili sasa tuondoe sintofahamu iliyotokea ambayo siyo tu inaviashiria vyote VYA UONEVU,VIASHIRIA VYA DHULUMA na NIA OVU YA KUHUJUMU MRADI MPYA WA NDEGE kwa kuwaondoa watu muhimu walioshiriki katika kufanikisha njozi ya mh Raisi ya kufufua shirika la ndege
ZINGATIO
Mh Waziri akijibu haya nitaendelea kueleza kilichojificha nyuma ya pazia.