Hivyo, Rais Dk. John Pombe Magufuli amekiri wazi kuwa, CCM iko kwa ajili ya wenye mizigo na wana wapitevu, waliokimbia CCM ikiwa imesongwa na makandokando.
Magufuli anawakumbusha wote wenye nia ya kuhamia CCM: Jitieni nira mioyoni mwenu kwa kuwa Mimi ni msafi.
Ni kwelii kabisa hao hawajanunuliwa ila wameinunua CHADEMA asante kwa kunikumbusha.Tofauti ipo tena kubwa.... Ulisikia wao wananunuliwa kama hawa?
mod afadhali nimekupata hapa. Vijana wako wamenipiga ban ID yangu pendwa ya Copenhagen DN. Fanya mpango basi irudi.Chezea kompromat wewe.
Ni Ofisi ya Chadema?Bahari beach ni ofisi ya serikali?!
Mod ni Invisible. Mimi ni non-identical pacha wake: The Invincible.mod afadhali nimekupata hapa. Vijana wako wamenipiga ban ID yangu pendwa ya Copenhagen DN. Fanya mpango basi irudi.
Natanguliza shukran zangu za dhati kabisa
Nini kinakukera adrian hillary?Hivi mtu anapata wapi ujasiri wa kufurahia hali hii?? haifurahisi wala kupendeza ! Nasikitika na kujawa na hasira ! Ni basi tu sina namna, frankly inakera!
Rais na Mwenyekiti wa CCM, Dk. John Pombe Magufuli, leo baada ya kupitisha majina ya waliopitishwa kugombea ubunge kwa majimbo ya Korogwe Vijijini, Ukonga na Monduli, amewaasa walioko Upinzani kujiunga na CCM kwa kuwa, wameshajisahihisha.
Mwenyekiti huyo amewaita Wapinzani kuingia CCM kwa kusema kuwa:Njooni wote mnaosumbuliwa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Dk. Magufuli aliwasifia wanaojiunga na CCM na kusema wanafanya uamuzi wa kishujaa na kuji-sacrifice. Aliongezea kuwa, wanahamia CCM kwa kuwa huko waliko wanakutana na figisufigisu nyingi zaidi.