Jacobo John
Member
- Apr 5, 2020
- 19
- 2
Napenda kutoa vielelezo vya madai yetu ambayo tunaambiwa ni batili. Ardhi Jiji la Dodoma kuna watu wafuatao sio waadilifu. Mwakasitu, Piusi hawa ni wadhamini pamoja na Mafuru Mkuu wa Idara amabye yupo hapo kwa manufaa ya Mkurugenzi wa Jiji lanapiga fedha za dili balaa.
Hawa ni baadhi ya wanaodai tumeandika barua nyingi Mhe. Rais lakini tunahisi zinaficha hazikufikii, tumafanya jitihada za kukusimamisha kwa mabango lakini Mkurugenzi was Jiji anatuma watu ambao Ni po polisi wanatukamata na kutunyang'anya mabango.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ni baadhi ya wanaodai tumeandika barua nyingi Mhe. Rais lakini tunahisi zinaficha hazikufikii, tumafanya jitihada za kukusimamisha kwa mabango lakini Mkurugenzi was Jiji anatuma watu ambao Ni po polisi wanatukamata na kutunyang'anya mabango.
Sent using Jamii Forums mobile app