KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Njia nzuri ya kumpa heshima yake yote, aache uchaguzi mkuu 2020 uwe huru kabisa. Ahimize Tume ya Uchaguzi ifanye kazi yake bila ya kushinikizwa na yeyote.
Wananchi wakiamua aendelee, sina neno kabisa na uwepo wake.
Wananchi wakiamua aendelee, sina neno kabisa na uwepo wake.