Rais Magufuli: Nitaondoka madarakani kwa mujibu wa Kanuni na Katiba ya CCM na Katiba Nchi

Nyie watu huwa hamna positive hata angesema anaongeza mngekuja na jingine nani hawajui.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sie watu gani?

Na kwa nini positive iwe wewe unayoiona positive?

Positive unaijuaje hii positive na negative unaijuaje hii negative?

Mimi nikikwambia kumshabikia rais anayesema atapiga shangazi za wapinzani wake ni negative utakubali? Nikikwambia hivyo wewe ndiye mtu negative hapa utakubali?
 
Kauli hii ni kati ya kauli bora kabisa alizowahi kuzitoa Rais Magufuli.

Sikubaliani naye mengi, lakini hili nakubaliana naye.

1. Amezingatia matakwa ya katiba.
2. Amezingatia kuwajulisha Watanzania lengo lake.
3. Amesaidia kuonesha muongozo wa kumaliza maneno mengi ya uvumi.
4.Ameepusha mvurugano mkubwa wa taifa.
5. Ameepuka kuvunja precedent.

Angeweza kufuata katiba hivi kwenye mambo yote, ningekuwa na matatizo naye machache sana.
 
Aman iwe nanyi wakuu

Rais Magufuli amedai kuwa licha ya mashinikizo mengi kutoka kila pande lakini yeye ataondoka madarakani kwa mujibu wa katiba ya CCM na nchi wala hataongeza miaka maana kazi ya urais ni ngumu sana.

Amedai kuna watanzania wengi tu ndani ya CCM wenye kuweza kuongoza nchi hivyo yeye atapisha atakapomaliza mda wake.

LONDON BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vema ili pia aende The Hague maana hajaenda ulaya miaka mingi!
 
Wewe ni kilaza mkubwa hebu onyesha wapi alisema hata ondoka

Haya maelezo yako yanaonesha kuwa kweli hajawahi kusema ataongeza muda

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
2181380_tapatalk_1570975358855.jpeg
IMG-20141102-WA0010.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom